Hamisa amuita Diamond "Kivuruge"

Hamisa amuita Diamond "Kivuruge"

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Naona Hamisa anamrushia dongo aliyekua laaziz wake kupitia wimbo mpya wa Nandy uitwao KIVURUGE.

Mrembo huyo amekua akirusha audio clip ya wimbo huo kwenye ukurusa wake wa instagram kuonyesha kuukubali na kuguswa na wimbo huo wenye ujumbe mzito wa kimapenzi.

Ila kanyimbo katamu jomoni, huu wimbo angeimba Hamisa i guess ungefika mbali sana maana mashairi yamegusia hali halisi iliyomtokea mrembo huo na aliyekua mpenzi wake, Diamond Platnumz.
 
Warumi bwana. Sasa ndio umeconclude ivyo au? Ila nisikubishie wewe ni mbea mkubwa mwenye jina hapa mujini hehehehehehe. Endelea kutupa vitu vipya mkuu
 
Ila nyie tuseme ukweli, Tununu mzuri bhana jamani, yupo kama mdoli sema kwa zari ndo vile juu ako Classic na pía mzuri ana pesa, ila hamisa kazuri kale katoto
 
Tununu, tukinao.wabongo siwawezi. Filter na make up tu hizo zinawafanya waonekane wazuri.live ni Wa kawaida tu.hata mamaake tununu anaonekana kijana
 
Back
Top Bottom