Siku hizi anajikondesha hata si mzuri. Kidevu kinabaki kuzid urefuIla nyie tuseme ukweli, Tununu mzuri bhana jamani, yupo kama mdoli sema kwa zari ndo vile juu ako Classic na pía mzuri ana pesa, ila hamisa kazuri kale katoto
Hear say ni kuwa kivuruge na tununu walikuwa Dubai
Nimeongeza sikuBinamu mbea umebaki wewe tu mjini, umbea wa Mange Kimambi ni wa kulipia siku hizi.
Hamisa ni mzuri sana warumi .Ila nyie tuseme ukweli, Tununu mzuri bhana jamani, yupo kama mdoli sema kwa zari ndo vile juu ako Classic na pía mzuri ana pesa, ila hamisa kazuri kale katoto
Acha tu,,, wanatuchanganya sisi wakina mwa...mwa..mwa...tulioko nyanda za juu kusiniTununu Ndo nini[emoji15]
Kama tununu humjui am sure hata tukinao humjui piaTununu Ndo nini[emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama tununu humjui am sure hata tukinao humjui pia