Hamisa Mobeto ana kesi ya kujibu kushuka kiwango cha Aziz Ki, Chama ni mzee, ana mechi zake, Dube anazuzuliwa na pesa alizolipwa GSM

Hamisa Mobeto ana kesi ya kujibu kushuka kiwango cha Aziz Ki, Chama ni mzee, ana mechi zake, Dube anazuzuliwa na pesa alizolipwa GSM

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kipindi niko chuo boom likiingia hakuna kusoma mpaka liishe au itangazwe test,nitasomaje na accont ina milioni moja?milioni moja ndio,kwa miaka ile kwa mwanafunzi ni hela nyingi sana,kipato cha wanafunzi wa chuo kinazidi walinzi na vibarua wa viwandani.

Huyo ndio Prince Dube,moaka hela za GSM ziishe ndio atajitafuta. Milioni 600 alizopewa zinamzuzua.

Tangu zamani tulisema Hamisa Mobeto anatembelea nyota za watu kwa manufaa yake na akiwa naye lazima nyota yako ifubae,hii ni code huwezi kuiekewa kama huna jicho la tatu,kuna msanii mmoja mkubwa nchini hatembeagi na mwanamke mwenye nyota iliyofubaa,siku zite huwa ana date na wanawake wenye nyota,si ajabu wewe uko masikini sababu ya mpenzi uliye naye ni mwizi wa nyota.

Clatus Chota Chama miaka zaidi ya 35 wewe sio Ronaldo wala Messi umeshazeeka,kila mtu anajua una mechi zako,GSM alikusajili kuwafurahisha mashabiki wa Yanga milioni 400 ulizopewa haziakisi mchango wako kwenye timu.
 
Ila ndugu yangu mwanaume kuwa obsessed na demu wa mshikaji kiasi hiki haipendezi.

Kwa hiyo Kibu Denis naye anatoka na Mobetto?

Mwamnyeto?

Manula?

Kapombe?

Aucho?

Ahoua?

Mzamiru?
 
Ila ndugu yangu mwanaume kuwa obsessed na demu wa mshikaji kiasi hiki haipendezi.

Kwa hiyo Kibu Denis naye anatoka na Mobetto?

Mwamnyeto?

Manula?

Kapombe?

Aucho?

Ahoua?

Mzamiru?
Hapo nimeainisha watatu na sababu tofauti tofauti we umemuona Aziz Ki tu.

Tuje hawa wa kwako.

Manula anaponzwa na usaliti,aliuza mechi.

Kibu anatumia nguvu bila akili,ni kama kuku aliyakatwa kichwa ba kuachiwa ghafla.

Kapombe kwa umri wake wing back ni mzigo hatakiwi kupanda na kushuka,ametumika sana miaka mingi upepo umekata.

Aucho labda ametupiwa majini

Mwamnyeto na Mzamiru watacheza namba ya nani kwa kiwango chao cha kawaida muno.

Aohua simba walipigwa hakuna kitu pale
 
FB_IMG_17305796534182647.jpg
 
Back
Top Bottom