Kabisa halafu mimi nashangaa wanaomsema hamisa kuwa anajipendekeza, tuliona familia nzima wameenda kumuangalia means wanamtambua.Hamisa anajua anachokifanya hawezi tu kuamua kumpa jina la baba ake diamond mtoto wake
Watu wengine bwana, na kweli watuambie Naseeb kafunga ndoa lini. Nampongeza sana Hamisa.Hivi Diamond alifunga ndoa lini?
Si ajabu ni yeye atakae olewa, yeye si mjinga akubali kwenda kwenye relationship kama mchepuko wa kudumu.Watu wengine bwana, na kweli watuambie Naseeb kafunga ndoa lini. Nampongeza sana Hamisa.
Na usikute diamond mwenyewe katoa jina la baba yake hapo kwenye kuwa mjanja umeongea mda ni huu akichelewa ataishia kuendelea kuzalishwa na mondiKabisa halafu mimi nashangaa wanaomsema hamisa kuwa anajipendekeza, tuliona familia nzima wameenda kumuangalia means wanamtambua.
Diamond ni mfanyabiashara na ni mwanamziki anajua anatakiwa afanye nini, ikiwa pembeni anamuhudumia mtoto vizuri sioni shida, na mpaka hamissa kaandika hivyo inaonekana ana baraka zote.
Ila Hamissa awe mjanja atafute shughuli ya kufanya, kuna leo na kesho asitegemee child support peke yake
Umeingia jukwaa hili kwa bahati mbaya au?Unajua maana ya celebrity forum?Wenye mengi ya kufanya hawaingii jukwaa hili!Hivi kwenye hii ishu cha ajabu haswa ni nini? au wezangu mimi mshamba!!!!!? Yaani Amisa kuzaa na Diamond ni story???? ishiiiiiiiii kuna mengi ya kufanya jamani...
yeah nimeona,at first sikuona aseeSio fake dear hamisa kaitag kabisa hiyo acc ya mtoto wake
Yani huyo mkuu kanichekesha sana nadhani hunizidi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahahaha Mkuu umenichekesha sana sana,,,,,hahaha
Heheeh mi nasubiria tu ,maana daimond kakataa so tuone picha ,,halaf ndio inatokea wanafanana hatare na daimond[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake tuna kazi kweli kweli binafsi sikuona kama amefanya jambo la maana may be kama kaahidiwa ndoa,sijui huwa naonaje kwangu,mwanamme tayari ana mwanamke mwingine na keshazaa nae halafu namm nijipeleke daaaaa anyway kila mtu na maamuzi yake
Hmmmm...watu kwa kuhangaika...... anahangaika nini sasaNope alichofanya ka create new account leo, akaiita Tanzanian baby ndio maana unaona followers wachache halafu ile nyingine kabadili jina
Hmmmm...watu kwa kuhangaika...... anahangaika nini sasaNope alichofanya ka create new account leo, akaiita Tanzanian baby ndio maana unaona followers wachache halafu ile nyingine kabadili jina