Hamisa Mobeto, Billnas mambo hadharani ...

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Sasa Mama tawile umetoka kwa diamond unaenda kwa billnass? Au ndo stress zinakusumbua? , na Nandy si ni shoga yako jaman ? Yani mastaa wa bongo kwa kushea ndo wanaona fashion , Ila shoga yangu umechacha, kutoka mrs dangote mpaka mpaka kwa balozi wa unga, kweli ukistaajabu ya musa.. mi nikajua utaenda kudate wanaume wa maana, akili zako zikakutuma udate na billnass? ,si unasemaga unatembea na mabwana wenye pesa wewe? Sasa billnass Ana pesa gani ? Mxieew hovyo
 
Billnas-Nandy-Ruge-Mabeto-Majizo-----GRIDI YA TANESCO.
 
Inategemea, kama unajua kukojoza ntakuvumilia tu , Ila sharti uniache nikadange 🤣🤣🤣
Toa ushetan wako hapa ww na huyo Chakubanga uliye mleta hapa mpo sawa tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…