Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
-
- #81
SawasawaAnafaa Sana,anajiamini,Ni mzalendo na umri unamruhusu
Kyakyakya ccm ya wadangaji hiiiAmbaruti na yeye jimbo gani?
Mwambie aache bangeHalo JF siasa.
Wimbi la wasanii kuonesha vipaji vyao vya uongozi linazidi kujidhihirisha. Kuna habari za chini ya kapeti kuwa mrembo wa haja nchini, Hamisa Mobeto anataka kuwaakilisha Wanakinondoni bungeni. Inadaiwa anaungwa mkono na baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Dar es salaam.
Mheshimiwa Hamisa amepanga kuutokomeza biashara ya madawa ya kulevya, ukahaba, wizi na vitendo vingine vya uhalifu. Pia amepanga kuboresha miundombinu, elimu, Afya, maji, usafi wa mazingira, kupunguza kelele nk.
Sasa akili za Sugu au Prof J utalinganisha za Mobeto analilia child support kwa Diamond?Kwani kina Sugu na Prof Jay mbona wapo na hatuoni hilo balaa?
aaaaahhhhhhaaaaaaaaaaahhhHalafu kwakuwa wanawake wa aina hii ni ulevi kwa bwana yule basi utashangaa anamtandika na uwaziri ndani ya ofisi ya Rais.
π π π π π π π π π
Hahahaaaa........!