Hamisa Mobetto aja na record label yake (Mobetto Record)

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Mrembo mwana mitindo na msanii maarufu anayetikisa dunia kwa sasa Hamisa Mobetto amekuja na record label ( Mobetto music) yake ambayo ofisi zake zinapatikana jijini Dar es Salaam Tanzania.

Habari za chini zinasema record label hiyo imeshasajili baadhi ya wasanii akiwemo Gigy Money, Amber Ruty, Rose Ndauka na Amber Lulu. Wasanii hao wanatarajia kutangazwa hivi karibuni

Wasafi na King Music mjiandae mtapotezwa kwenye soko la music muda si mrefu 👀

 
Def Jam Recordings,Geffen Records,Atlantic Records,300 Records,Quality control Records,Cash Money Records,Universal Motown Music,1017 Brick squad Mafia,Taylor Gang Entertainment sijui kwanini nimezitaja hizi label
 
Def Jam Recordings,Geffen Records,Atlantic Records,300 Records,Quality control Records,Cash Money Records,Universal Motown Music,1017 Brick squad Mafia,Taylor Gang Entertainment sijui kwanini nimezitaja hizi label
Dah yan kila nikisikia hili jina TAYLOR GANG! moyo unalipaaa! Sijui kwanini
 
Kuna vitu vinafurahisha mno[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…