Pesa wnyewe anayodai sasa utadhani kazaa dhahabu. Ndio aone jinsi gani kuchuna ela ya mtu inavouma.Enhee sio kulilia kuongezewa Pesa za matunzo
Hasa Yule bitukinao anamiliki sifa za bongo[emoji108] ahsante sana kwa kuwaelewesha
Wabongo wanapendaga show off alijikalia kimyaa Dada wa watu
Leo nakuambia kuna watu hawatolala!
Unajua mnataka kupinga kitu kisichopingika.ByeDada unaelewa maana ya "mfululizo" kweli?
Hahahahh....usidanganye tena jukwaani eee....Unajua mnataka kupinga kitu kisichopingika.Bye
Wewe nawe,miaka miwili mfululizo maana yake hata mkiwa na mahusiano sio lazima 24/7 muwe mnalala same place...kweli common sense isnt common.Hahahahh....usidanganye tena jukwaani eee....
Sheria inasema waishi pamoja under the same roof kwa miaka miwili mfululizo...Sheria haina common sense ni facts tu!!Wewe nawe,miaka miwili mfululizo maana yake hata mkiwa na mahusiano sio lazima 24/7 muwe mnalala same place...kweli common sense isnt common.
Halafu mtu anataka apewe support Kisa mbongo mwenza.Hivi unazaaje na mtu ambae hana ht mpango na ww?
Jmn zaeni na waume zenu sio wa watu, ni kuzalilishwa tu!
Mambo mengine wanawake huwa tunajitakia
Bora ss amejitambua aachane na Child support
Yan Kisa kua mbongo ndio nimsupport side chick anayeleta mbwembwe kwa mwanamke anayejulikana ndiye main NEVEEEEER.
Hizo support mngeanza na kununua CD za bongo movie mpaka waache kulalamikia wakorea
Ipake rangi iwe nzuri [emoji39][emoji39].Roho mbaya
Una miaka mingapi?!Ipake rangi iwe nzuri [emoji39][emoji39].
Itafika siku mashoga wa kibongo nao tutaambiwa tuwa support kisa uzalendo
UnaijuaUna miaka mingapi?!
Wala siijui kuna uzi unakuhusu humuUnaijua
Wapi huko?Wala siijui kuna uzi unakuhusu humu
Wapi huko?
Nimefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha tafuta tu...nmekuharibia
Nimefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu wewe