Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Bora umeonaeee Mama D wakeeeeHivi kumbe kuna adhabu za kifarauni eee
The only kwa hiyo hiyo unaposema usipomkulatgo utakua umekosea sana kwani unapomkula ni adhabu kwake, kwako au wote?
Kumbuka Kutoa Rushwa na kupokea Rushwa yote ni makosa!!! Acha kabisa!!!
Kama unauchungu zaaHii kauli huwa naitafakari sana, hivi Hamisa akili zake sijui zipo sawa kichwani yaani anapenda kumpa Diamond power kwenye maisha yake utadhani yeye Ndio Mungu wake.
Mtu hajawahi kuwa your official Boyfriend zaidi ya mchepuko, kila siku unakanwa, sasa kuna haja gani ya kumfanya awe Mungu mtu kwako.
Yaani kabisa bila aibu unaulizwa kama Diamond alijua kuwa una-shoot na Alikiba na wewe na akili zako za kushikiwa unajibu eti alikuruhusu.
Kama nani labda? Au ndio kujipendekeza upate child support? Hamisa mzuri ila anajiabishaga hana hata class. Kashamruhusu Diamond amtawale mwili hadi maisha
Hamisa karibu jukwaaniKama unauchungu zaa
Mimi sijawahi kula tigo. Maana yangu wanaume huwa hawaheshimu wanawake cheap wanaotoa uchi kwa pesa .hata mapicha yauchi 80% wanaume kupiga wadangajiHivi kumbe kuna adhabu za kifarauni eee
The only kwa hiyo unaposema usipomkulatgo utakua umekosea sana kwani unapomkula ni adhabu kwake, kwako, au kwenu wote?
Kumbuka Kutoa Rushwa na kupokea Rushwa yote ni makosa!!! Acha kabisa!!!
Sijui wakoje, midada Ina tamaa balaaa. Kujishusha na kujiaibishaMaskin Ndio maana mnadanyuliwa na kuachwa , mnashoboka sana na magar na nyumba ambazo sio za kwenu mxieew , Kwan nyie hamuwez kutafuta vyenu Mxiee Ndio maana mnapasuliwa mashavu kuendeza shida tu
Mtu ajakuchumbia wala kukuvisha pEte shobo hizo vepee na kina lulu wasemeje sasa wenye wachumba zao official mxiew