Hamisa Mobetto: Diamond anaweza akanioa

Absolutely true.....hivi haka kajamaa kanawapa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau Wema angalau alivalishwaga kapete ka kizushi[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaahaaaa JF kuna mambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Hamisi ana tamaa na hajiamini
Anapenda maisha ya kufikirika,huku akili yake amewekeza kwa Nasibu kwamba ataweza kumuinua kimaisha
Anatakiwa afahamu mapenzi ya kuvutana kwa ndumba mwisho wa siku atakutana na mganga wa mtwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…