mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Nakazia Stephen Amenasa Mpira UnakufaWatu wanakwenda kuua mpira wa huyu dogo!!
Anatia kinyaa Hamisa ptuuuuu
πππAziz k anapiga pesa kwa kuigiza hizo scene, mwenye chombo ni injiniiiiiia
Hata mimi nahisi hivyoWatu wanakwenda kuua mpira wa huyu dogo!!
Angekataa kwenda Dubai ndo ingekuwa habari.Mwanamitindo na msanii wa muziki Tanzania Hamisa Mobetto amekubali kwenda dubai na mchezaji wa soka wa Yanga Ki Aziz kwa siku nne baada ya kuulizwa kama atakubali kenda nae jana katika usiku wa tuzo wa TFF.
Wawili hao wamekua wakionekana pamoja mitandaoni, wameonekana pia pamoja jana katika usiku wa tuzo hizo za TFF. je we unadhani Aziz Ki na Mobetto ni wapenzi?
Hana hata mpira wa kutisha huyo. Wa kawaida sana mkuu. Basi tu viwango vyetu viko chini.Nakazia Stephen Amenasa Mpira Unakufa
Eti mwanamitindo msanii πMwanamitindo na msanii wa muziki Tanzania Hamisa Mobetto amekubali kwenda dubai na mchezaji wa soka wa Yanga Ki Aziz kwa siku nne baada ya kuulizwa kama atakubali kenda nae jana katika usiku wa tuzo wa TFF.
Wawili hao wamekua wakionekana pamoja mitandaoni, wameonekana pia pamoja jana katika usiku wa tuzo hizo za TFF. je we unadhani Aziz Ki na Mobetto ni wapenzi?