Hamisa Mobetto: Nilitundikwa mimba mara tatu na Diamond

Hivi huu Utamaduni wa Kimbwiga ( Kishamba ) wa Kuweka hadharani mambo yako ya 'Sirini' Chumbani umetokana na nini na una Faida gani pia?
 
Hivi huu Utamaduni wa Kimbwiga ( Kishamba ) wa Kuweka hadharani mambo yako ya 'Sirini' Chumbani umetokana na nini na una Faida gani pia?

Yule binti anampenda Diamond sana na bado anataka authibitishie umma kua aliweza kua nae saa nyingine hata shule hizi zinachangia labda wao kua vile yaani kuropoka kila kitu
 
Wewe ni mnafiki balaa so ulitaka atelekeze kisiri siri. Kijana nilikuonaga wa maana ila duh huna tofauti na wale nzi wa kijani wanaoshinda kwenye taka taka na vyoo vya uswahilini.

Mwambie tununu familia haimtaki. Huwa anajiona kadogo hana watoto wengi kumbe keshaflash wa kutosha.kidomo kile kama kinyeo cha kuku pheeeeewwwww
Unachuki Sana na Hamisa ila kwa Hili nimekupa point 3 Hamisa mobetto kateleza si maneno ya kuongea public
 
🤣🤣🤣🤣 Leo nakubali hoja yako me bahati nzuri kwenye black naiita black na kwenye White naiita white kwenye Hili Hamisa mobetto kachemsha
 
Hakuna kitu sikipendi kama kutoa siri za kwenye mahusiano yako , huyo hajitambui kwa hiyo kupachikwa mimbatatu zilienda wapi kama sio kuishia kuzitoa umeshaambiwa na mkwe usilazimishe ukoo kwa nguvu

sent from HUAWEI
 
najivunia kuzaliwa mwanaume
 
WAislamu wa wapi hawa wanatuaibisha, MABETO hizo mimba ujue umeua sawa na ungemuua dylan, Diamond umeua watoto wengi sana, utalipa hizo damu.
 
Cheap girls sasa kutundikwa mimba tatu zikatoka na Mond,na yenyewe ni sifa?
Suala la mimba kuharibika wanawake husimulia katika kuonyesha jinsi walivyoangaika kutafuta mtoto ndani ya ndoa au mahusiano rasmi.
Sasa huyu mobeto hakuwa mke wa mond,hakuwa mpenzi,alikuwa mchepuko tu,sasa kwanini aweke siri ya ndani Kama hii? !!haimuletehi huruma,ila inaonyesha alivyo kiruka njia,danga,unagongwa mara tatu na mme wa mtu!!unajivunia???!!
Akili hakuna kabisa kichwani.
 
Hivi huu Utamaduni wa Kimbwiga ( Kishamba ) wa Kuweka hadharani mambo yako ya 'Sirini' Chumbani umetokana na nini na una Faida gani pia?
Dying for Fame. (Kutafuta Umaarufu kupitia mtu maarufu).
 
Yule binti anampenda Diamond sana na bado anataka authibitishie umma kua aliweza kua nae saa nyingine hata shule hizi zinachangia labda wao kua vile yaani kuropoka kila kitu


Hapendwi mtu isipokuwa pesa tu!

Aliwahi kusema kuwa watu wanamuonea wivu sababu amezaa na mabwana wenye pesa zao mjini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…