Hamisi Delgado na Harry Belafonte

Hamisi Delgado na Harry Belafonte

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Leo Maktaba imetembelewa na Hamisi Delgado rafiki yangu toka ujana wetu.

Yeye si mgeni hapa Maktaba ingawa kaondoka hapa nyumbani miaka mingi sana.

Lakini akija sharti aje kunikagua.

Leo katika mazungumzo kanikumbusha Harry Belafonte na Sidney Poitier walivyokuja Dar es Salaam mwaka wa 1973.

Picha hiyo hapo chini ni nyumbani kwa Hamza Aziz, siku alipowakaribisha Harry Belafonte na Sidney Poitier nyumbani kwake Mbezi Beach kwa chakula cha jioni kulia ni Ally Sykes akitambulishwa kwa watu hao maarufu.


View: https://youtu.be/o_fj_x3parw?si=8cIsK5YwEYDYoxce
 
Mzee Mohamed Said inabidi huyu Hamisi Delgado umfanyie mahojiano ya maisha yake na mapito sehemu mbalimbali ya dunia, hizi stories za mizunguko duniani ni muhimu WaTanzania kuzisikia na kuwatia hamu kuondoka kutafuta fursa duniania kote.

Na usiishie kwa kuanda mahojiano na Hamisi Delgado bali watu wengine wengi unaowafahamu wa diaspora hii pia ni sehemu ya historia inafaa kuwepo katika hili jukwaa la historia.
 
Mzee Mohamed Said inabidi huyu Hamisi Delgado umfanyie mahojiano ya maisha yake na mapito sehemu mbalimbali ya dunia, hizi stories za mizunguko duniani ni muhimu WaTanzania kuzisikia na kuwatia hamu kuondoka kutafuta fursa duniania kote.

Na usiishie kwa kuanda mahojiano na Hamisi Delgado bali watu wengine wengi unaowafahamu wa diaspora hii pia ni sehemu ya historia inafaa kuwepo katika hili jukwaa la historia.
Bagamoyo,
Mimi namshauri aandike kitabu cha maisha yake.
 
Back
Top Bottom