Tetesi: Hamisi Mgeja mbioni kurejea CCM

Tetesi: Hamisi Mgeja mbioni kurejea CCM

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,197
Hali ndani ya Chadema kwa waliomfuata Lowasa imekuwa ngumu baada ya kukiridhisha kuwa chama walichoenda hakina nafasi kwa wageni. Hivyo wamegundua njia muafaka ni kurejea CCM ambako kuna uhuru wa kidemokrasia ikiambatana na fursa tele za kushiriki katika ujenzi wa Taifa.

Kinachowaondoa CDM ni utaratibu wa chama kuwakumbatia wenye nacho badala ya kutoa nafasi sawa kwa wanachama wote kutoa maoni na kushiriki katika kufikia maamuzi yahususiyo maendeleo ya chama.

Ufinyu wa demeokrasia ndani ya CDM unachangia aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, ndugu Hamisi Mgeja kufikia uamuzi wa kurudi nyumbani, CCM kuliko demokrasia ya uhakika na ushiriki mpana wa wanachama kuchangia maendeleo ya chama.

Wakati wowote Ndugu Mgeja ataita waandishi wa habari na kutangaza kurejea CCM
 
Waliyokategemea vyeo Ndani ya chama naona wanaondoka warudi tu walikotoka.
 
ubatizo Wa maji umekwisha sasa ni ubatizo Wa moto!! haha hakuna kitu kibaya kama kua msaka maslahi unaweza vunja heshma ulio ijenga miaka 20 ndani ya cku moja!!

nimesikia na Edo is on the way too!!
 
Waliyokategemea vyeo Ndani ya chama naona wanaondoka warudi tu walikotoka.

Unadhani Lowassa na Sumaye wao walikuja huko kutafuta mapera siyo?

Mnyimeni kugombea urais 2020 ndiyo mtajua alichokifuata.
 
Tulishamkata mkia hivyo akirudi huko mikiani mtamtenga tu...!Hana tena mkia huyo!
 
  • Thanks
Reactions: wax
Hali ndani ya Chadema kwa waliomfuata Lowasa imekuwa ngumu baada ya kukiridhisha kuwa chama walichoenda hakina nafasi kwa wageni. Hivyo wamegundua njia muafaka ni kurejea CCM ambako kuna uhuru wa kidemokrasia ikiambatana na fursa tele za kushiriki katika ujenzi wa Taifa. Kinachowaondoa CDM ni utaratibu wa chama kuwakumbatia wenye nacho badala ya kutoa nafasi sawa kwa wanachama wote kutoa maoni na kushiriki katika kufikia maamuzi yahususiyo maendeleo ya chama. Ufinyu wa demeokrasia ndani ya CDM unachangia aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, ndugu Hamisi Mgeja kufikia uamuzi wa kurudi nyumbani, CCM kuliko demokrasia ya uhakika na ushiriki mpana wa wanachama kuchangia maendeleo ya chama. Wakati wowote Ndugu Mgeja ataita waandishi wa habari na kutangaza kurejea CCM
Njaa ni mbaya sana ukawa wapo imara lowasa naye ndio chaguo letu
 
Hali ndani ya Chadema kwa waliomfuata Lowasa imekuwa ngumu baada ya kukiridhisha kuwa chama walichoenda hakina nafasi kwa wageni. Hivyo wamegundua njia muafaka ni kurejea CCM ambako kuna uhuru wa kidemokrasia ikiambatana na fursa tele za kushiriki katika ujenzi wa Taifa. Kinachowaondoa CDM ni utaratibu wa chama kuwakumbatia wenye nacho badala ya kutoa nafasi sawa kwa wanachama wote kutoa maoni na kushiriki katika kufikia maamuzi yahususiyo maendeleo ya chama. Ufinyu wa demeokrasia ndani ya CDM unachangia aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, ndugu Hamisi Mgeja kufikia uamuzi wa kurudi nyumbani, CCM kuliko demokrasia ya uhakika na ushiriki mpana wa wanachama kuchangia maendeleo ya chama. Wakati wowote Ndugu Mgeja ataita waandishi wa habari na kutangaza kurejea CCM
hata mkirudi hatuwapi uenyekiti CCM mkoa
 
Hata mimi muda wowote kuanzia kesho nitaita waandishi wa habari kutangaza rasmi kurudi CHADEMA baadaya kushuhudia uvunjaji wa wazi wa katiba ya chama.
 
Hali ndani ya Chadema kwa waliomfuata Lowasa imekuwa ngumu baada ya kukiridhisha kuwa chama walichoenda hakina nafasi kwa wageni.

NI KWELI LAKINI JAMANI TUSEME UKWELI, HATA NDANI YA CHAMA CHETU CCM, BADO KUNA MAPUNGUFU MAKUBWA SANA, NI LINI NAFASI YA MWENYEKITI WA TAIFA IMEWAHI KUGOMBEWA NA WATU ZAIDI YA MMOJA? ILIWAHI KUTOKEA KWA MWANACCM MMOJA HIVI SASA NI MAREHEMU MUNGU AMREHEMU HUKO ALIKO, ALIPOTAKA KUCHUKUA FOMU ILI AGOMBEE UENYEKTI WA TAIFA, ALISHAMBULIWA KAMA MPIRA WA KONA, NAFIKIRI MOJA YA MAMBO AMBAYO DKT. MAGUFULI ANAPASWA KUYAFANYIA MAREKEBISHO NI PAMOJA NA KURUHUSU HAKI YA WANA CCM WENGINE PIA KUGOMBEA NAFASI YA UENYEKITI WA TAIFA.
 
Back
Top Bottom