Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Mtoa mada ni mmoja ya washamba wanaodhani kwenda Marekani ni issue ya kila mtu kujuaKwahiyo?????
Dooh kutoka "twatwatwa" unajiita Meghan ili?Kwahiyo?????
Una divert hoja mkuu.... Habari yako haijakamilika. Kwahiyo Hamisa akienda USA sisi tufanyaje labda???Dooh kutoka "twatwatwa" unajiita Meghan ili?
Hili ni jukwaa la celebrities kwa hiyo kujua mambo wanayoyafanya mastaa ni mahali pake. Ukienda wewe Marekani haiwezi kuwa habari ya kuandika hapa ukubali tu huu ukweli mchungu and sorry for being extremely honestyMtoa mada ni mmoja ya washamba wanaodhani kwenda Marekani ni issue ya kila mtu kujua
Ukiniuliza ufanyeje utaonekana hujielewi hivi habari za mastaa unazokutanaga nazo huko mtandaoni huwa unafanyaga nini?Una divert hoja mkuu.... Habari yako haijakamilika. Kwahiyo Hamisa akienda USA sisi tufanyaje labda???
Meghan mbona jina tu ukipenda muite mwanao
Ni msigwa na Mary Nagu sasa wewe ni nani kati ya hao ni Mary nagu?Yani kama Msigwa alivomuuliza Mary Nagu "so what"
Maza alianza kujitia ooh Wanangu wako Marekani fyoko fyoko, msigwa akapiga " so what"??
Nadeal na Meghan wewe unadeal na mwembesi one,Tukiwajibu shit wewe na nani??? Hahahah.... Shit za JF hazijawahi nikimbiza coz unadeal na Meghan na sio mie usonijua.
Issue ni kua habari yako ina-hang it's not about her travelling to the US or me not making headlines if I go....kamilisha habari.
Hilo povu lako kwangu mali mwenzio mie dobi
[emoji106]kuna watu na digrii zetu kibao hata kenya hatujafika tume mind rohoni.. hapa tunazuga tu
Bring it on.....Nadeal na Meghan wewe unadeal na mwembesi one,
Sasa mwembesi one anasema hivi "Post imekamilika hivyo ilivyo whoever aggrieved must appeal to the higher authority"