Hamissa Mobetto aalikwa Marekani na ex wa Rick Ross

Nchi hii imebahatika kuwa na ombaomba wawili wenye viwango vya kimataifa,alikuwa bwana Matonya akaaga dunia Mungu akatuletea Hamisa Mobetto.
 
celebrity
sɪˈlɛbrɪti/
noun

  1. a famous person, especially in entertainment or sport.
    "he became a sporting celebrity"
    synonyms:famous person, VIP, very important person, personality, name, big name, famous name, household name, star, superstar, celebutante, leading light, giant, great, master, guru;More
    • the state of being well known.
      "his prestige and celebrity grew"
      synonyms:fame, prominence, renown, eminence, pre-eminence, importance, stardom, popularity, distinction, greatness, note, notability, prestige, stature, standing, position, rank, repute, reputation, illustriousness, glory, acclaim, influence, account, consequence, visibility
      "his prestige and celebrity grew"


      Kwahio wanaohoji so what au hakuna ajabu au tufanye nini labda wameconfuse defition ya celebrity na ushauri /achievements/amazing au extraordinary
 
Watu hilo hawajui yaani wanataka tuwe tunapost mambo ya siasa, sijui bungeni, uchumi biashara, kilimo , ufugaji kwenye jukwaa la celebrities?

Jf kila kitu kinajukwaa lake hili ni jukwaa la mienendo na vituko vya wasanii.
 
Watu humu hawajielewi hata nusu mkuu. Yaani mtu hataki post kama hii sasa unajiuliza kwa mtu reasonable anapofungua jukwaa la celebrities anategemea atakutana na habari za kilimo na ufugaji au?

Hili ni jukwaa la celebrities, na kwenye description ya jukwaa wamekwambia kabisa "mazuri na vimbwanga vya celebrities"

Hamissa kwenda marekani kwenye jukwaa hili ni zaidi ya mada,

Alikiba kwenda marekani ni zaidi ya mada kwenye hili jukwaa

Sijui gigy money, diamond zari , wema nk wanayoyafanya ni zaidi ya mada.

Kama ilivyo Magufuli akienda Chato inavyokuwa mada kwenye jukwaa la siasa ndivyo ilivyo hapa kwa celebrities.
 
WABONGO KONYO!
wameenda kwa lira chaaaaaaaaaaamba chamba!
DADA KAONA ENH!
kafuta post!
Wabongo wanavamiaga page kama siafu..teh nmekumbuka walivovamia page ya tecno alivompost post lulu, alipata R.I.P za kutosha hadi alifuta picha zake
 
Nasikia huyo Lira kafuta hiyo post ya Hamisa aka (Mchawi karaba) [emoji23][emoji23] sasa sidhani kama ataenda tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…