nimeona ila sikujuwa inasaidia nini hasa mimi mgen ila hum watu wanaonekana wakali wakali kama wanajeshi flan
Juma pumba maharagweTaja majina yako matatu kwa usahihi
Mbona unauliza kitu kipo wazi? Au wewe upo slow kuchakata maneno?Picha tena ?
nimeiona asante
facebook situmii niko tweter ila ntazoea tu
hapo nlipokupa nikosa ? nlikuwa natest how it's works
Asante kwa ukaribisho japo niliingiza upepo flan