Hamna anayetafuta hawala humu?

Hamna anayetafuta hawala humu?

Super Sub Steve

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
17,404
Reaction score
10,900
Ndoa zimekuwa ngumu waume Na wake Wema wanapatikana kwa shida sana.Sasa kwanini humu mtu asiseme natafuta mtu ambaye ana kwake lakini angalau awe anakuja kunitimizia mahitaji ya kindoa japo hatujaoana.Kila mtu anataka mume au mke permanent why? Wekeni thread hata Za kutafuta mchepuko tu.Maana huku mtaani tunaona watu hawana waume lakini Wana watu angalau wa kuwakuna unyevu unyevu ukieazidi
 
hawara nijuavyo mie ni yule mlieunganisha wote vikojoleo then mkaachana
sasa wewe wasemea yupi
 
Ndoa zimekuwa ngumu waume Na wake Wema wanapatikana kwa shida sana.Sasa kwanini humu mtu asiseme natafuta mtu ambaye ana kwake lakini angalau awe anakuja kunitimizia mahitaji ya kindoa japo hatujaoana.Kila mtu anataka mume au mke permanent why? Wekeni thread hata Za kutafuta mchepuko tu.Maana huku mtaani tunaona watu hawana waume lakini Wana watu angalau wa kuwakuna unyevu unyevu ukieazidi
Unatafuta uharisho weweee!!!!
 
Back
Top Bottom