Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 249
- 452
Vijana hata watu wazima wengi bado wanaimini kuna kazi au pesa rahisi unaweza pata kupitia simu yako au kuwa online.
Chini ya hili jua hamna pesa rahisi. Pesa halali ni ile ya kuitolea jasho. Kama kuna mtu Tanzania hii analea familia yake na anasomesha watoto wake na online money aje aseme hapa.
Watanzania hamna mtu analea familia kwa betting, au casino games mwanzo mwisho. Watu wanakuwa na source nyingine ya income ndo anacheza hivi vitu bila pressure. Kwaiyo hata akikosa bado anakipato chake. Hii dhana vijana wanashinda kwenye hii michezo asubuhi hadi jioni na amini tutapata vichaa wengi sana huko badae.
Hamna online platform yeyote ile itakupa hela zaidi we ndo utawapelekea hela. Kuna biashara nyingi sana za kufanya na kuna kazi nyingi sana halali za kufanya. Shida ipo watu kuchagua kazi.
Kama umesoma tuliza akili angalia wapi unaweza toboa. Watu wanakimbilia mimi sina mtaji mimi sina mtaji. Ila ukweli ni kwamba wewe mwenyewe ni mtaji tayari.
Matajiri wengi wameanza na kuthubutu. Angalia Diamond, azam na wengine wengi wamehangaika sana. Kutukanwa mbele za watu kuaibishwa kuonekana hawana akili wanapoanza ila leo hii ni watu wa heshima.
Sasa wewe jifungie na simu yako chumbani ukisema unatafuta hela. Au shinda kwenye macasino ukisema kuna hela utapata siku moja. Kweli utapata hatukatai ila sio kila siku. Fungua hata banda la chipsi tu kama unaamini kwenye mambo ya online hij inamaana hata ukikosa huko una mahali unaweza pia ishi.
Chini ya hili jua hamna pesa rahisi. Pesa halali ni ile ya kuitolea jasho. Kama kuna mtu Tanzania hii analea familia yake na anasomesha watoto wake na online money aje aseme hapa.
Watanzania hamna mtu analea familia kwa betting, au casino games mwanzo mwisho. Watu wanakuwa na source nyingine ya income ndo anacheza hivi vitu bila pressure. Kwaiyo hata akikosa bado anakipato chake. Hii dhana vijana wanashinda kwenye hii michezo asubuhi hadi jioni na amini tutapata vichaa wengi sana huko badae.
Hamna online platform yeyote ile itakupa hela zaidi we ndo utawapelekea hela. Kuna biashara nyingi sana za kufanya na kuna kazi nyingi sana halali za kufanya. Shida ipo watu kuchagua kazi.
Kama umesoma tuliza akili angalia wapi unaweza toboa. Watu wanakimbilia mimi sina mtaji mimi sina mtaji. Ila ukweli ni kwamba wewe mwenyewe ni mtaji tayari.
Matajiri wengi wameanza na kuthubutu. Angalia Diamond, azam na wengine wengi wamehangaika sana. Kutukanwa mbele za watu kuaibishwa kuonekana hawana akili wanapoanza ila leo hii ni watu wa heshima.
Sasa wewe jifungie na simu yako chumbani ukisema unatafuta hela. Au shinda kwenye macasino ukisema kuna hela utapata siku moja. Kweli utapata hatukatai ila sio kila siku. Fungua hata banda la chipsi tu kama unaamini kwenye mambo ya online hij inamaana hata ukikosa huko una mahali unaweza pia ishi.