Wasanii wabongo wanaishi maisha ya kuunga sana siku anapata dili ya UN nafikiri huenda siku hiyo akapata mzuka wa kuhehuka mchana peupe maana atajipigilia picha mpaka msalani.
Wasanii wetu wanahitaji course ya muda mrefu sana kuhusu SHERIA, LIFE STYLE & INNOVATION kwenye kazi zao, kubana pua na kutembea uc.hi hakutawapeleka popote.