Hamorapa na P Majani ndani ya FNL, Majani amshauri Harmorapa kubadili jina anampa kiki Harmonize

nyamalagala

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2016
Posts
744
Reaction score
673
Kweli milango ikifunguka hakuna namna.Hamorapa kusindikizwa na P Majan studio?.kama IPO IPO tu

==============================================

Nucky Thompson, post:
Mkongwe katika gemu ya Bongo fleva P Funk amedai Harmo rapa ana kipaji na ni msikivu anayetaka kusonga mbelekimuziki na sio kikikama wasanii wengine, amedai kwa sasa amekuwa msanii mkubwa na anampa kiki za bure Harmonize hivyo anatakiwa kubadili jina

 
Naona waganga wa siku hizi wanasaidia..yaani huyu hamo nini sijui wa kupagawisha mamilioni ya watanzania?
 
Yule mama sijui ana akili gani au ana malengo gani!!

Anawekeza pesa nyingi sana kwa huyu dogo Harmorapa ambaye si kurap tu bali hata kuzungumza hawezi!!

P funk na Necha weshachukua mizigo yao hapo, na media msimu huu zinafaidi kwelikweli hela za bure kwa promo ya huyu bwana mdogo!!
 
Ahhha hahaha kitu kimoja nachokipenda kwa dogo anajiongeza sana yaani leo ukimfundisha kukata kona kesho unamkuta anapiga indicator mwenyewe
Jamaa ameulizwa vp hicho kithembe si kinakuharibia pozi.Akasema hayo ni maumbile tu lkn flow zinaflow kama kawa.eti mbona Ney wa Mitego naye ana kithembe lkn anapiga Moshe?.
 
nimesikia nyimbo zake mbili. yuko vizuri sana. sikutegemea angeimba vile na kithembe hakisikiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…