nyamalagala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 744
- 673
Mkuu haujaskia kiboko ya mabishoo, anakwambia yy ni role model wa harmonizeHuyu mtoto kamficha kabisa yule anayefananishwa naye!
Huyo P Funk majani na huyo Juma nature zama zao zimeshakwisha hawana impact yoyote kwenye anga ya mziki kwa sasa na wao wanataka kutafuta kiki tu nao wasikike basi .Kweli milango ikifunguka hakuna namna.Hamorapa kusindikizwa na P Majan studio?.kama IPO IPO tu
Nimesikia nikastaajabu sana!Mkuu haujaskia kiboko ya mabishoo, anakwambia yy ni role model wa harmonize
Ahhha hahaha kitu kimoja nachokipenda kwa dogo anajiongeza sana yaani leo ukimfundisha kukata kona kesho unamkuta anapiga indicator mwenyeweNimesikia nikastaajabu sana!
Jamaa ameulizwa vp hicho kithembe si kinakuharibia pozi.Akasema hayo ni maumbile tu lkn flow zinaflow kama kawa.eti mbona Ney wa Mitego naye ana kithembe lkn anapiga Moshe?.Ahhha hahaha kitu kimoja nachokipenda kwa dogo anajiongeza sana yaani leo ukimfundisha kukata kona kesho unamkuta anapiga indicator mwenyewe
Kajanja sana haka..Ahhha hahaha kitu kimoja nachokipenda kwa dogo anajiongeza sana yaani leo ukimfundisha kukata kona kesho unamkuta anapiga indicator mwenyewe
Huyu mtoto kamficha kabisa yule anayefananishwa naye!