Ulitegemea atadis? Kajua kuwakomesha.Diamond anajifanya Lowasa,busara nyingi....angeulizwa king kinya.MOTO UNGEWAKA.
Kasema Harmorappa ni jembe na wanaanda mkataba wamsign WCB haraka iwezekanavyo.Ni hayo tuKasemaje mi bando halitoshi siwezi fungus video 1000 mb 200
Unapotosha kwa faida gani!!?Kasema Harmorappa ni jembe na wanaanda mkataba wamsign WCB haraka iwezekanavyo.Ni hayo tu
Ndio maana namkubali diamond platinum hana nyodo tofauti na kibakuli
Akili za kibashite hiviKasema Harmorappa ni jembe na wanaanda mkataba wamsign WCB haraka iwezekanavyo.Ni hayo tu
Nenda YouTubembona kila siku hamo rapa hamorapa! sisikii nyimbo zake!
Sasa si afanye mziki tumsikie tuchuje tuona nani anatafuta kiki
Yaani pfunk amekuwa wa kuongea pumba hivi!
Afadhal uongee wew kiazi nikiongea mim muhogo naonekana nina miziziHuyo P Funk majani na huyo Juma nature zama zao zimeshakwisha hawana impact yoyote kwenye anga ya mziki kwa sasa na wao wanataka kutafuta kiki tu nao wasikike basi .