Wandugu kupitia jukwaa hili naomba kuuliza kama hii hali inayojitokeza kwangu ni tatizo au la.. Mm ni mwanamme umr miaka 31 ni kwamba nimekua na takriban miez miwil na zaid bila kua na hamu hata kidogo ya tendo la ndoa..yaan mzuka zero..doro mtalimbo..cjaenda spital bado..nimeanza na jf kwanza..naomba kujua chochote kutoka kwenu.