dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,037
- 3,134
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Naomba mchango kwa kile ntakchokwenda kukiuliza.Namna yakupata hamu ya kufanya lile tendo (kugegedana)nina mambo yafutayo wataalam najua mpo mnaweza mkanifafanulia.
Kama tunavyofahamu kawaida unapomaliza kufanya lile tendo hamu inakua inapotea kbsa hutaman kuendelea hasa pale unapokua ushapiga magoli ya kutosha au kufikishwa kibo.
Maswali yangu ni kama ifutavyo;
1.Ni mda gani huchukua toka kumwaga mpka mtu kufikia kupata hamu tena kwa pande zte ke na me.
2.Je, unaweza kujizuia pind unapo fikiwa na hamu namaanisha kukaa bila kufanya mapenzi wala kutumia njia zozote (punyeto) bila kupata madhara (kma yapo yataje) yoyote has inapofikia kiwango cha juu kabisa.
3.Je, kati ya mwanamke na mwanaume yupi anaweza kukaa mda mrefu bila kufanya mapenzi
Asante nakaribisha michango yenu kwa ajili ya kujifunza na si vingnevyo wengine ndio hivyo shule za chini ya muembe tulikosa kuhifahamu vyema biolojia.
Naomba mchango kwa kile ntakchokwenda kukiuliza.Namna yakupata hamu ya kufanya lile tendo (kugegedana)nina mambo yafutayo wataalam najua mpo mnaweza mkanifafanulia.
Kama tunavyofahamu kawaida unapomaliza kufanya lile tendo hamu inakua inapotea kbsa hutaman kuendelea hasa pale unapokua ushapiga magoli ya kutosha au kufikishwa kibo.
Maswali yangu ni kama ifutavyo;
1.Ni mda gani huchukua toka kumwaga mpka mtu kufikia kupata hamu tena kwa pande zte ke na me.
2.Je, unaweza kujizuia pind unapo fikiwa na hamu namaanisha kukaa bila kufanya mapenzi wala kutumia njia zozote (punyeto) bila kupata madhara (kma yapo yataje) yoyote has inapofikia kiwango cha juu kabisa.
3.Je, kati ya mwanamke na mwanaume yupi anaweza kukaa mda mrefu bila kufanya mapenzi
Asante nakaribisha michango yenu kwa ajili ya kujifunza na si vingnevyo wengine ndio hivyo shule za chini ya muembe tulikosa kuhifahamu vyema biolojia.