BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Mbona hujafafanua hamu ya kula ipi :hungry: ?
mmmh chichemi kitu, subiri utajibiwa leo mwanzo wa wiki watu wapo fresh..........
Inawezekana kabla ya hali hii kuanza umepitisha siku au masaa mengi bila kula na kwahiyo umejikondition. Chagua chakula unachodhani unahamu nacho leo na ule kwa wingi
Wewe ni Me au Ke?
Kama ni Ke, kacheck UPT Urine Pregnancy test... yawezakuwa kitu kimejipa!!! mpira ndani ya nyavu..
Kama unapata kinywaji,ebu jaribu kunywa sinzano tot kama mbili hivi kisha siklilizia kesho(Hii ni kwa mjibu wa mazoea na inasaidia)
au unaeza kumuona daktari atausadia kwani kuna dawa za kuongeza hamu ya kula baada ya kudhibitisha kuwa hauna tatizo kubwa la kiafya
pengine una mawazo au jambo linalokusibu so linakusababishia hiyo hali,
Pole sana!endelea kujilazimisha hivyo hinyo!
Mathias sijumii kilevi, hiyo tot sitoiweza. labda niende hospital kupata vipimo. kiafya najiona niko njema lakini hamu ya kula tu imeponyoka
Lucky you.
Mimi hamu ya kula full speed. Ningefurahi ikitoweka occasionally - labda na uzito ungepungua.
vipi kuhusu UPT,Jaribu na hii
Wakati mwingine na rangi ya kupakaaa kwenye midomo(lipstick) ikizidi ina-neutralize appetite...........tehe tehe :A S kiss::A S 465: