Mwazo yanaweza kuchangia, jaribu kujipa muda wa kupumzika na kutafakari mambo yako bila usumbufu.. Jitahidi kutokujilazimisha kufanikisha mambo mengi kwa wakati mmoja kwa sababu hali hii hupelekea kuwa na Stress ambazo zitakufanya usijisikie kula.
Pia jitahidi kunywa maji kwa wingi pamoja na kula matunda kwa wingi ambayo yatakupatia nguvu wakati unapambana na tatizo la kukosa hamu ya kula. Usihofu, hilo tatizo humtokea karibu kila mtu kutokana na sababu tofauti tofauti. Kubwa ikiwa Mawazo au Kuwa na hofu juu ya jambo fulani.