Hamu ya Ngono wengine inawatia wazimu? Unyama gani huu?

Hamu ya Ngono wengine inawatia wazimu? Unyama gani huu?

Annina

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2009
Posts
437
Reaction score
59
Jamani kuna kaka mmoja amekutwa na mtihani mkubwa katika maisha yake baada ya kuugua ugonjwa wa kupooza uliomfanya asiweze hata kuzungumza. Akiwa katika hali hiyo, kwa kuwa hakuwa na mke na tatizo lilikuwa la muda mrefu ilibidi wanafamilia wajipange katika kumhudumia.

Mdogo wa kiume wa mgonjwa akaitwa kutoka kijijini na kupewa jukumu la kumhudumia kaka yake nae akalipokea kwa mikono miwili. Mgonjwa akarudishwa nyumbani kwake akawa anaendelea kupata matibabu na wanafamilia wanakuja kumjulia hali.

Baada ya muda dada mkubwa wa yule mgonjwa ambae alikuwa mara nyingi anashinda pale lakini jioni anarudi kulala kwake, akagundua yule mgonjwa kila anapomuona yule mdogo wake wa kiume anakuwa kama anashtuka na kuonyesha hali ya kumuogopa, yule dada akamuuliza mbona mgonjwa anakuogopa, akasema huwa hapendi kuoga na kwakuwa mimi huwa namuogesha ndio sababu ananiogopa!

Kama ilivyo kawaida ya wanawake, ni wafuatiliaji wazuri wa mambo (hata madogo kiasi gani!) yule dada hakuridhika, akafuatilia, mlinzi akamwambia mgonjwa huwa anatoa sauti za ajabu kila siku usiku, kama vile ana maumivu makali.

Yule dada akalifikisha kwa wanafamilia wengine, wakalijadili, wakashangaa kama mgonjwa huwa anazidiwa au kupatwa na maumivu makali kila siku usiku, kwanini anaemtunza mgonjwa asiwaambie. Wakaamua kufuatilia, siku hiyo wakaa kwa mgonjwa mpaka saa 2 usiku then wakaaga, wakaenda kukaa baa ya jirani wakapanga na mlinzi akisikia hizo sauti awaambie.

Wakaambiwa, walipokuja wakamkuta yule kaka anambaka mgonjwa! wakina dada wakaangusha kilio kikubwa kama kuna msiba, majirani wakakimbilia wakifikiri yule mgonjwa amefariki. Watu wakajaa, police wakaitwa wakamchukua mtuhumiwa.

Najiuliza huyu kijana alikuwa na wazimu? katika hali ya mateso aliyokuwa nayo kaka yake yeye akaona amuongezee kwa kumbaka? alidhani kupooza kumemfanya asitambue anachofanyiwa? mama wa watoto hawa atakuwa katika hali gani? yule mgonjwa akipona patakalika?
 
Nianze kwa ku'nullify kwamba hii SI HAMU YA NGONO!

Lakini, Haya mambo ni ya ukweli?..

Yametokea wapi?..

jE inawezekana dogo kumbaka kakaake?

Au ndo kuchangamsha wikiendi...lakini mbona kwa mimi story hii imehiharibia wikiendi yangu!

Enewei...hakuna mbaya!
 
Nianze kwa ku'nullify kwamba hii SI HAMU YA NGONO!

Lakini, Haya mambo ni ya ukweli?..

Yametokea wapi?..

jE inawezekana dogo kumbaka kakaake?

Au ndo kuchangamsha wikiendi...lakini mbona kwa mimi story hii imehiharibia wikiendi yangu!

Enewei...hakuna mbaya!

Pole kwa kukuharibia wikiendi, mimi nilipata homa!. Inawezekana si hamu ya ngono, ni nini basi? wazimu? ni kweli yametokea hapo dar, ni vile tu sina mamlaka ya kusema ni nani ilimtokea, ni dar!
 
Nianze kwa ku'nullify kwamba hii SI HAMU YA NGONO!

Lakini, Haya mambo ni ya ukweli?..

Yametokea wapi?..

jE inawezekana dogo kumbaka kakaake?

Au ndo kuchangamsha wikiendi...lakini mbona kwa mimi story hii imehiharibia wikiendi yangu!

Enewei...hakuna mbaya!

Pole kwa kukuharibia wikiendi, mimi nilipata homa!. Inawezekana si hamu ya ngono, ni nini basi? wazimu? ni kweli yametokea hapo dar, ni vile tu sina mamlaka ya kusema ni nani ilimtokea, ni dar!
 
Bado sana kuamini hii kitu kama ni kweli huo ujasiri huyo dogo aliutoa wapi? Au ni nguvu za giza nini maana kuna vitoto vinakabidhiwa uchawi tangu vikiwa vichanga.
 
Please share with us the source of this story.
 
Wakaambiwa, walipokuja wakamkuta yule kaka anambaka mgonjwa! wakina dada wakaangusha kilio kikubwa kama kuna msiba, majirani wakakimbilia wakifikiri yule mgonjwa amefariki. Watu wakajaa, police wakaitwa wakamchukua mtuhumiwa.

Najiuliza huyu kijana alikuwa na wazimu? katika hali ya mateso aliyokuwa nayo kaka yake yeye akaona amuongezee kwa kumbaka? alidhani kupooza kumemfanya asitambue anachofanyiwa? mama wa watoto hawa atakuwa katika hali gani? yule mgonjwa akipona patakalika?

I dont believe this story!!
 
kama hii stori ni kweli then huyo jamaa sio kuwa ana hamu ya ngono bali ana tatizo la akili, so inabidi familia impeleke hosp akachunguzwe kidogo, kuna uwezekano wanafamilia wamempa jukumu mgonjwa amtunze mgonjwa mwingine.
 
Stori inatia shaka, lakini nikiangalia ukweli kuwa kuna mababa wanabaka mabinti zao na hadi kuzaa nao hii nayo inaweza kuwa imetokea kweli!
 
I dont what to believe kama ni kweli au la lakini haya mambo nayo yanawezekana manake duniani kuna kuna vituko!!! Kama kweli duh huyo jamaa nampigia picha kwa sasa anatamani ardhi ipasukie mbali ajipotelee zake
 
Kuamini hii stori ni ngumu kwa watu ambao mambo hayo hatujawahi kuyashuhudia zaidi tunayasikia, habari ingekuwa bomba zaidi kama tungepewa source yake.
 
Back
Top Bottom