Hamuutaki sasa Uwanja wa Azam Complex baada ya kuchezea Vipigo viwili mfulilizo, kwani Azam na Simba waliwalazimisha Kuutumia?

Hamuutaki sasa Uwanja wa Azam Complex baada ya kuchezea Vipigo viwili mfulilizo, kwani Azam na Simba waliwalazimisha Kuutumia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na msivyo na Akili pengine ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) alisema (ipo YouTube) kuwa mna Akili kama za Nyani, Mbwa na Sokwe leo mmesahau kuwa ni nyie nyie mlikuwa mnatamba kuwa Uwanja wa Azam Complex una Bahati sana Kwenu na mtautumia kwa Mechi zenu zote za NBC Premier League na CC huku mkiwacheka Simba SC kwa kutokuwa na Bahati nao.

Cha kushangaza Leo baada ya Upuuzi wenu wa Kuroga kulikopitiliza (kwa Makafara makubwa yasiyompendeza Mwenyezi Mungu) huku mkitumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kwa Wachezaji kugundulika na kuanza kupokea Vipigo vya maana Viwili mfulilizo (Azam FC na Tabora United FC) ndiyo mnajifanya Kufura (Kukasirika) kuwa mnahujumiwa katika huo Uwanja wa Azam Complex na kwamba hamuutaki tena.

Ila GENTAMYCINE siwashangai sana kwa hii tabia yenu ya Kukurupuka Kimaamuzi kunakotokana na kutokuwa na Akili kunakowasumbua, kwani hata mwaka Jana wakati wa Mzozo wa aliyekuwa Mchezaji wenu Feisal Salum 'Fei Toto ilipogundulika kuwa anahamia Azam FC mlinukuliwa katika Vyombo mbalimbali vya Habari na Mitandao (kupitia Wazee wenu ambao hawajawahi kuwa na Akili) kuwa mtaacha kutizama Azam Tv na hata Kununua Bidhaa za Azam ila cha Kushangaza ni kwamba ukipita katika Vibanda Umiza vyote vya kuonyesha Mpira (hasa Mechi za Ligi Kuu ya NBC) Watu wengi wanaokaa mbele ni wa Klabu yenu ya Vipigo Viwili Mfulilizo FC

Na hata katika Mighahawa mingi tu ya Uswahilini na Mijini Wateja wengi wa kuagiza ama Chapati au Maandazi pamoja na Bidhaa na Huduma nyinginezo za Azam ni wa kutoka Klabu yenu ya Vipigo Viwili FC.

Hamna Akili na hapo mbona bado....!! Msiyempenda / Msiyenipenda ila ni Dawa yenu ya Kuwatibu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimerejea Jukwaani na kama kawaida mwendo ni ule ule.
 
Na msivyo na Akili pengine ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) alisema (ipo YouTube) kuwa mna Akili kama za Nyani, Mbwa na Sokwe leo mmesahau kuwa ni nyie nyie mlikuwa mnatamba kuwa Uwanja wa Azam Complex una Bahati sana Kwenu na mtautumia kwa Mechi zenu zote za NBC Premier League na CC huku mkiwacheka Simba SC kwa kutokuwa na Bahati nao.

Cha kushangaza Leo baada ya Upuuzi wenu wa Kuroga kulikopitiliza (kwa Makafara makubwa yasiyompendeza Mwenyezi Mungu) huku mkitumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kwa Wachezaji kugundulika na kuanza kupokea Vipigo vya maana Viwili mfulilizo (Azam FC na Tabora United FC) ndiyo mnajifanya Kufura (Kukasirika) kuwa mnahujumiwa katika huo Uwanja wa Azam Complex na kwamba hamuutaki tena.

Ila GENTAMYCINE siwashangai sana kwa hii tabia yenu ya Kukurupuka Kimaamuzi kunakotokana na kutokuwa na Akili kunakowasumbua, kwani hata mwaka Jana wakati wa Mzozo wa aliyekuwa Mchezaji wenu Feisal Salum 'Fei Toto ilipogundulika kuwa anahamia Azam FC mlinukuliwa katika Vyombo mbalimbali vya Habari na Mitandao (kupitia Wazee wenu ambao hawajawahi kuwa na Akili) kuwa mtaacha kutizama Azam Tv na hata Kununua Bidhaa za Azam ila cha Kushangaza ni kwamba ukipita katika Vibanda Umiza vyote vya kuonyesha Mpira (hasa Mechi za Ligi Kuu ya NBC) Watu wengi wanaokaa mbele ni wa Klabu yenu ya Vipigo Viwili Mfulilizo FC

Na hata katika Mighahawa mingi tu ya Uswahilini na Mijini Wateja wengi wa kuagiza ama Chapati au Maandazi pamoja na Bidhaa na Huduma nyinginezo za Azam ni wa kutoka Klabu yenu ya Vipigo Viwili FC.

Hamna Akili na hapo mbona bado....!! Msiyempenda / Msiyenipenda ila ni Dawa yenu ya Kuwatibu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimerejea Jukwaani na kama kawaida mwendo ni ule ule.
Sawa ila usije ukakimbia na wala usilete visingizo baadae maana kesho yako na hiyo timu yako haujui
 
Uto Walijiona Dunia Yao
Waliona Wao Ndio kila kitu
Jeuri Kiburi Vyote Vyao.
Mechi ya Tabora Kila Refa Akijaribu Kuwasaidia na Kuwatoa Mchezoni Vijana wa Tabora Mungu Anawapa Nguvu.
Kwakweli nilishangaa sana, madogo wametoka kuokoa penati wakaweka goli mda huo huo...
 
Uto Walijiona Dunia Yao
Waliona Wao Ndio kila kitu
Jeuri Kiburi Vyote Vyao.
Mechi ya Tabora Kila Refa Akijaribu Kuwasaidia na Kuwatoa Mchezoni Vijana wa Tabora Mungu Anawapa Nguvu.
Walifikia kusema mungu aŵàshshìè malaika'astafirullah
 
Hakuna cha uwanja tatizo lilikuwa wachezaji wenyewe pamoja na benchi la ufundi,, wachezaji walicheza chini ya kiwango ,kushindwa kukaba na kupiga pasi ambazo hazifiki

Poor tackling and wrong passes costed yanga sc, including technical bench, (poor substitution method), yanga its substitution starts in second half, (routine substitution)
 
Na msivyo na Akili pengine ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) alisema (ipo YouTube) kuwa mna Akili kama za Nyani, Mbwa na Sokwe leo mmesahau kuwa ni nyie nyie mlikuwa mnatamba kuwa Uwanja wa Azam Complex una Bahati sana Kwenu na mtautumia kwa Mechi zenu zote za NBC Premier League na CC huku mkiwacheka Simba SC kwa kutokuwa na Bahati nao.

Cha kushangaza Leo baada ya Upuuzi wenu wa Kuroga kulikopitiliza (kwa Makafara makubwa yasiyompendeza Mwenyezi Mungu) huku mkitumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kwa Wachezaji kugundulika na kuanza kupokea Vipigo vya maana Viwili mfulilizo (Azam FC na Tabora United FC) ndiyo mnajifanya Kufura (Kukasirika) kuwa mnahujumiwa katika huo Uwanja wa Azam Complex na kwamba hamuutaki tena.

Ila GENTAMYCINE siwashangai sana kwa hii tabia yenu ya Kukurupuka Kimaamuzi kunakotokana na kutokuwa na Akili kunakowasumbua, kwani hata mwaka Jana wakati wa Mzozo wa aliyekuwa Mchezaji wenu Feisal Salum 'Fei Toto ilipogundulika kuwa anahamia Azam FC mlinukuliwa katika Vyombo mbalimbali vya Habari na Mitandao (kupitia Wazee wenu ambao hawajawahi kuwa na Akili) kuwa mtaacha kutizama Azam Tv na hata Kununua Bidhaa za Azam ila cha Kushangaza ni kwamba ukipita katika Vibanda Umiza vyote vya kuonyesha Mpira (hasa Mechi za Ligi Kuu ya NBC) Watu wengi wanaokaa mbele ni wa Klabu yenu ya Vipigo Viwili Mfulilizo FC

Na hata katika Mighahawa mingi tu ya Uswahilini na Mijini Wateja wengi wa kuagiza ama Chapati au Maandazi pamoja na Bidhaa na Huduma nyinginezo za Azam ni wa kutoka Klabu yenu ya Vipigo Viwili FC.

Hamna Akili na hapo mbona bado....!! Msiyempenda / Msiyenipenda ila ni Dawa yenu ya Kuwatibu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimerejea Jukwaani na kama kawaida mwendo ni ule ule.
Simba mnachojua ni uchawi tuu, hadi nashangaa hii timu vipi. Walozi fc
 
Waliomba kucheza na Malaika maana bongo hakuna timu ya kuifunga. Mungu akawatumia Azam na tabora kufikisha ujumbe kuwa malaika wanakazi muhimu mbinguni na duniani na Mungu haharibiwi
 
Na msivyo na Akili pengine ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) alisema (ipo YouTube) kuwa mna Akili kama za Nyani, Mbwa na Sokwe leo mmesahau kuwa ni nyie nyie mlikuwa mnatamba kuwa Uwanja wa Azam Complex una Bahati sana Kwenu na mtautumia kwa Mechi zenu zote za NBC Premier League na CC huku mkiwacheka Simba SC kwa kutokuwa na Bahati nao.

Cha kushangaza Leo baada ya Upuuzi wenu wa Kuroga kulikopitiliza (kwa Makafara makubwa yasiyompendeza Mwenyezi Mungu) huku mkitumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kwa Wachezaji kugundulika na kuanza kupokea Vipigo vya maana Viwili mfulilizo (Azam FC na Tabora United FC) ndiyo mnajifanya Kufura (Kukasirika) kuwa mnahujumiwa katika huo Uwanja wa Azam Complex na kwamba hamuutaki tena.

Ila GENTAMYCINE siwashangai sana kwa hii tabia yenu ya Kukurupuka Kimaamuzi kunakotokana na kutokuwa na Akili kunakowasumbua, kwani hata mwaka Jana wakati wa Mzozo wa aliyekuwa Mchezaji wenu Feisal Salum 'Fei Toto ilipogundulika kuwa anahamia Azam FC mlinukuliwa katika Vyombo mbalimbali vya Habari na Mitandao (kupitia Wazee wenu ambao hawajawahi kuwa na Akili) kuwa mtaacha kutizama Azam Tv na hata Kununua Bidhaa za Azam ila cha Kushangaza ni kwamba ukipita katika Vibanda Umiza vyote vya kuonyesha Mpira (hasa Mechi za Ligi Kuu ya NBC) Watu wengi wanaokaa mbele ni wa Klabu yenu ya Vipigo Viwili Mfulilizo FC

Na hata katika Mighahawa mingi tu ya Uswahilini na Mijini Wateja wengi wa kuagiza ama Chapati au Maandazi pamoja na Bidhaa na Huduma nyinginezo za Azam ni wa kutoka Klabu yenu ya Vipigo Viwili FC.

Hamna Akili na hapo mbona bado....!! Msiyempenda / Msiyenipenda ila ni Dawa yenu ya Kuwatibu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimerejea Jukwaani na kama kawaida mwendo ni ule ule.
Mi nashauri Uongozi wa Simba,kama Yanga akija KMC sisi tuende Azam complex,aifai kukaa na wachawi Nyumba Moja
 
Kamera zimewaumbua mliokua mnafanya uwanjani,nilikwisha yashuhudia Kwa macho yangu B.Mkapa stadium game ya simba vs yanga tena ile alifanya mtu wa benchi la ufundi lkn sikuona ppt walipokemea
 
Back
Top Bottom