Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi hawana hamu na huyu mwamba. Ndiyo maana hawakuwahi kuchunguzaHivi huyu mwamba polisi waliuchunguza Nini mwili wake ?
Polisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?Polisi hawana hamu na huyu mwamba. Ndiyo maana hawakuwahi kuchunhuza
Walienda kuuchunguza ili wabaini kilicho pelekea kifo chake...😂Hivi huyu mwamba polisi waliuchunguza Nini mwili wake ?
Hamza hakujisalimisha, kujisalimisha ni kutupa silaha chini na kunyoosha mikono juu au kushika kichwa Huku umepiga na magotiPolisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?
Yaeezekana walifanya vile ili kumnyamazisha Hamza, ili wafiche madhambi yao.Polisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?
Hamza hakujisalimisha, kujisalimisha ni kutupa silaha chini na kunyoosha mikono juu au kushika kichwa Huku umepiga na magoti
Alijisalimisha?Polisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?
UrongoAngalia ile clip; Hamza alitoka kwenye kile kibanda bila silaha kwenda kujitupa barabarani ndio wakampiga risasi!
kama yeye alupiga risasi wengine kwanini yeye asipigwe risasi?Urongo
Walikua wanaangalia vyuma vya moyo wake kavitoa wapHivi huyu mwamba polisi waliuchunguza Nini mwili wake ?
Wewe sema kweli Kwani mimi niliona live Pia!Urongo
Alijisalimisha?
Wewe ndio una Taabu kwani huwezi kukaa kimyaChadema mna taabu sana