Hamza aombewa kila kona

Hamza aombewa kila kona

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Screenshot_20220527-221116.png
 
Polisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?
Hamza hakujisalimisha, kujisalimisha ni kutupa silaha chini na kunyoosha mikono juu au kushika kichwa Huku umepiga na magoti
 
Hamza hakujisalimisha, kujisalimisha ni kutupa silaha chini na kunyoosha mikono juu au kushika kichwa Huku umepiga na magoti

Angalia ile clip; Hamza alitoka kwenye kile kibanda bila silaha kwenda kujitupa barabarani ndio wakampiga risasi! Alipouawa alikuwa hana silaha mkononi kwani risasi zilimuishia kwenye magazine!
 
Back
Top Bottom