Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
HAMZA KASSONGO ON SUNDAY ETV "MCHAKATO WA UHURU" SAA TATU USIKU 27 DECEMBER 2020
Dudu...
Nashukuru sana kwa kutazama vipindi nilivyohojiwa.
Kuna kipindi kingine nimefanya, "Hamza Kassongo on Sunday," ETV kitarushwa In Shaa Allah Jumapili ijayo saa tatu usiku, "Mchakato wa Uhuru."
Kipindi cha saa nzima tunazungumza historia ya kujikomboa kuanzia African Association 1929 hadi kuundwa kwa TANU 1954.
Utapata fursa ya kusikia historia ya wazalendo ambao hawafahamiki sana katika historia ya uhuru wa Tanganyika kama Hamza Kibwana Mwapachu, Rashid Ali Meli, Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange na Rashid Kheri Baghdelleh, Chief David Kidaha Makwaia, Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Hawa bint Maftah, Earle Seaton, Schneider Plantan na wengine wengi.
Dudu...
Nashukuru sana kwa kutazama vipindi nilivyohojiwa.
Kuna kipindi kingine nimefanya, "Hamza Kassongo on Sunday," ETV kitarushwa In Shaa Allah Jumapili ijayo saa tatu usiku, "Mchakato wa Uhuru."
Kipindi cha saa nzima tunazungumza historia ya kujikomboa kuanzia African Association 1929 hadi kuundwa kwa TANU 1954.
Utapata fursa ya kusikia historia ya wazalendo ambao hawafahamiki sana katika historia ya uhuru wa Tanganyika kama Hamza Kibwana Mwapachu, Rashid Ali Meli, Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo, Robert Makange na Rashid Kheri Baghdelleh, Chief David Kidaha Makwaia, Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Hawa bint Maftah, Earle Seaton, Schneider Plantan na wengine wengi.