Mohamed Said JF-Expert Member Joined Nov 2, 2008 Posts 21,967 Reaction score 32,074 Dec 26, 2020 #1 HAMZA KASSONGO ON SUNDAY: MCHAKATO WA UHURU WA TANGANYIKA Leo Jumapili Hamza Kassongo katika TVE saa tatu usiku anafanya mazungumzo na Mohamed Said kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.
HAMZA KASSONGO ON SUNDAY: MCHAKATO WA UHURU WA TANGANYIKA Leo Jumapili Hamza Kassongo katika TVE saa tatu usiku anafanya mazungumzo na Mohamed Said kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Dec 26, 2020 #2 mambo hayo yamepitwa na wakati
Mohamed Said JF-Expert Member Joined Nov 2, 2008 Posts 21,967 Reaction score 32,074 Dec 27, 2020 Thread starter #3 Panchito said: mambo hayo yamepitwa na wakati Click to expand... Panchito... Yawezekana kwako yakawa yamepitwa na wakati. Hii December nimefatwa na TV Station 5 wakiniomba mahojiano. Nikiangalia shajara yangu (diary) imejaa. Huenda wewe hupendi na ni jambo la kawaida. Lakini kuna wengi wamechukuliwa na historia hii. Au unakerwa na historia hii "corrective," iliyosahihisha historia iliyozoeleka? Waingereza wana msemo one man's meat is another man's poison.
Panchito said: mambo hayo yamepitwa na wakati Click to expand... Panchito... Yawezekana kwako yakawa yamepitwa na wakati. Hii December nimefatwa na TV Station 5 wakiniomba mahojiano. Nikiangalia shajara yangu (diary) imejaa. Huenda wewe hupendi na ni jambo la kawaida. Lakini kuna wengi wamechukuliwa na historia hii. Au unakerwa na historia hii "corrective," iliyosahihisha historia iliyozoeleka? Waingereza wana msemo one man's meat is another man's poison.