Tupeane pole Watanzania wote kwa nchi yetu kushindwa kuwa na taasisi zinazotenda haki, na hivyo kutupatia uhakika wa jamii yetu kuwa na usalama na amani ya kweli.Pole sana.
sijamanisha faida anaipata...ila nimesemea kwa ajili ya mtazamo wa tukio lilivyo na reaction ya watu mkuu....Binadamu bana. Uzikwe na mtu mmoja au dunia nzima we marehemu inakusaidia nini? Mbwembwe tu!
polisi wajitathimini.Nimefatilia comment za milad ayo juu ya mazishi ya hamza....nimegundua hamza kazikwa na watu wengi kuliko waliokuwa makaburini.yaan watu ndo wameonesha masikitiko makubwa na pole nyingi juu ya ugu wake...makuu hii imekaeje mana kila coment inamtakia jannat ferdaus..
Pole sanaKumwita mtu gaidi kama siyo gaidi, hakumfanyi kuwa gaidi.
Huenda hata maana ya terrorist huelewi. Kama ungekuwa unajua maana ya terrorist, usingeshindwa kutambua kuwa Tanzania tuna terrorist police force, na tuna terrorist government. Ndiyo maana wanateka, wanabambikia watu kesi, wanawatesa watu mahabusu na wakati fulani mpaka kusababisha vifo, nia ni kuwafanya raia waogope. Kufanya matendo ya kinyama ili watu waogope, ndiyo maana halisi ya ugaidi.
Hivi vitu mnavyodanganywa huko ndio huwa vinaleta shida na migawanyiko bado sana? Is there even common sense? Kuuwa askari nao ni ushajuu? Kweli vichaa ni wengi nchi hii.We bado sana!
Mzawa wa kanda ya nyonyoHivi Sirro ni msukuma?
Mzungu akiuuwa anaambiwa karukwa na akili ila mwislam akiuwa anaitwa gaidi, jitafakari, gaidi ni yule anaeuwa watu wasio na hatia acheni chuki zenu juu ya uislamHii dini ya ajabu duniani sijawahi kuona
wazurumati kawaacha, kaenda kwa watu wanyonge wanaotii na kufata maelekezo kulingan na viapo vya kazi yao.Nabii Hamza ametufundisha Kupiga na kuangamiza wadhurumati. Hamza ni SHUJAA. Punzika kwa Amani Mwamba..[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Naomba Mungu anipe roho ngumu kama ya Hamza hao watu wana tuonea sanaa ila one day itakua yes.Nimeangalia clips za mazishi ya bwana hamza, kwakweli Siro namuonea huruma sana. Anawezaje kumuita gaidi, mtu wa hovyo.. mtu ambae watu bila hata kupepesa macho wanamsifia kwa mazuri aliyofanya angalia comments za watu ndio utajua kwli police hapa wamebugi step.
Wewe utakiwi kumiliki silaha ikiwemo panga.Naomba Mungu anipe roho ngumu kama ya Hamza hao ma watu wanatuonea sanaa ila one day itakua yes.
nenda kamfukue hata sijui kama bahari unaijua au ushwahi kuiona.Hili Gaidi lilipaswa litoswe baharini, kuna samaki wana njaa kule
litajengwa ChunyaSanamu la Hamza linajengwa wapi jamani?
Wapi alisema anampigania Allah acha kulisha matangopori watu.Hamza anajinasibu kumpigania Allah, jamaa lilikua kichwa maji jamani