alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Naanzajeanzaje hata out yenyewe hiyo? Aisee,mnachukulia simple sanaSawa hampendi, lakini ameshamuoa ana nafasi ya kuokoa penzi lake kwa sasa, atoke nae kwa kujilazimisha hivyohivyo wakafurahie wanachokipenda huenda kikawaunganisha
Nimeolewa mkuuKama hujaoa na hajawahi kuipitia hali kama hii tulia tu
Naamini ipo siku utaanza kufurahia sana ndoa yako hiyo maana kwa sasa kwa maelezo yako baadhi humu jamii forums yaonekana unapitia changamoto kubwa.Naanzajeanzaje hata out yenyewe hiyo? Aisee,mnachukulia simple sana
Nimeolewa mkuu
Ndo ukweli halisi mkuuNaamini ipo siku utaanza kufurahia sana ndoa yako hiyo maana kwa sasa kwa maelezo yako baadhi humu jamii forums yaonekana unapitia changamoto kubwa.
Imani yangu ni hiyo ni kwasababu kwa maelezo yako yanakutafsiri upo halisia sana
Sawa mwalimu wanguNdo ukweli halisi mkuu
Hiki ndo chanzo hasaMi mbona naona kama tatizo liko hapa? Kwamba jamaa alitafutiwa huyo mke na ndugu zake na sio kwamba jamaa mwenyewe ndio alimpenda huyo mke?
hapo amechanganya mambo mawili hilo sijui siyo chaguo lake na hayo mambo yakuota usiku kalala na mwanamke mwingine ni dalili jamaa ana majini tena jini mahaba hata akioa wa chaguo lake yatatokea hayo hayo kwakuwa ni muislam afike kwanza kwa viongozi wake wa dini watamtatulia tatizo angekuwa mkristo ningesema aende kwenye makanisa ya maombezi hiyo ni kazi ndogo sana na jini likondolewa atarudisha mapenzi kwa mke wakeHabari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.
Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.
Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.
Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.
Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.
Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.
Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.
Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.
Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.
Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.
Nawasilisha......
Jini Mahaba.Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.
Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.
Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.
Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.
Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.
Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.
Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.
Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.
Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.
Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.
Nawasilisha......
Ushauri murua kabisa huu.Ni kheri kuishi na akupendae kama huyo ndugu yako, kuliko kuishi na mtu ambae yeye hakupendi na wewe unampenda.
Anajitaftia matatizo tu kumuacha huyo mwanamke, kama anampenda, ana tabia njema na anamjali ajifunze kumpenda taratibu kwa hayo mazuri yake machache.
Huenda akawa na shetan wewe ao huyo mwanamke linamchafua,Ao kinyume chake ww kama una mambo yale ya ujana achana nayo..Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.
Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.
Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.
Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.
Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.
Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.
Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.
Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.
Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.
Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.
Nawasilisha......
The same na mimi,ila mie nimeamua kuikubali hii hali na hatushirikiani kwa lolote lile.Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.