Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mimi HANCE MTANASHATI au wengine wamezoea kuniita baba Tunda Sabasita, siku ya tarehe 06/08 ninatimiza miaka kadhaa hivyo basi nimeona mwaka huu niwaalike kidogo ndugu zangu wa JF kuna kasherehe kidogo nimekiandaa.
Hivyo kwa wale wakazi wa dar na wangependa kujumuika ninawakaribisha kwa moyo mkunjufu .
Ninatoa nafasi kwa watu 20 wa mwanzo ambao watanipm niwape muongozo.
Kuna vitu muhimu sana nimeviandaa na pia mastaa wawili watatu ambao nisingependa kuyaanika majina yao kwa sasa watakuja kujumuika nami.
Karibuni.
Hivyo kwa wale wakazi wa dar na wangependa kujumuika ninawakaribisha kwa moyo mkunjufu .
Ninatoa nafasi kwa watu 20 wa mwanzo ambao watanipm niwape muongozo.
Kuna vitu muhimu sana nimeviandaa na pia mastaa wawili watatu ambao nisingependa kuyaanika majina yao kwa sasa watakuja kujumuika nami.
Karibuni.