Hance mtanashati na warumi mapengo yenu yanaonekana kwa ubuyu hamjambo

Hance mtanashati na warumi mapengo yenu yanaonekana kwa ubuyu hamjambo

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe juu na chini yenu wakuu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ingawa huwaga tunawapinga, kuwasimanga na kuwatus na kuwaita majina mabaya lakin nyie ndo wazee ubuyu humu ndani

Kwa ubuyu hamjambo nyie ni super ubuyu

Mkikosaga hata kwa week mbili hili jukwaa huwa linapoa kabisa kama maji yako kwenye mtungi

Endeleen kudondosha ubuyu wala msichoke

Ila sasa warumi punguza code unaua wengine huwa tunatoka kapa kitendo kinachofanya had tumsubili mtaram wa code Numbisa atokee

Aman kwao watu hawa


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman iwe juu na chini yenu wakuu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ingawa huwaga tunawapinga, kuwasimanga na kuwatus na kuwaita majina mabaya lakin nyie ndo wazee ubuyu humu ndani

Kwa ubuyu hamjambo nyie ni super ubuyu

Mkikosaga hata kwa week mbili hili jukwaa huwa linapoa kabisa kama maji yako kwenye mtungi

Endeleen kudondosha ubuyu wala msichoke

Ila sasa warumi punguza code unaua wengine huwa tunatoka kapa kitendo kinachofanya had tumsubili mtaram wa code Numbisa atokee

Aman kwao watu hawa


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
LONDON BOY.
 
Write your reply...sasa warumi kila ubuyu lazima atachomekea kuwa muhusika ni Shoga ikiwa atakuwa wa kiume
 
Aman iwe juu na chini yenu wakuu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ingawa huwaga tunawapinga, kuwasimanga na kuwatus na kuwaita majina mabaya lakin nyie ndo wazee ubuyu humu ndani

Kwa ubuyu hamjambo nyie ni super ubuyu

Mkikosaga hata kwa week mbili hili jukwaa huwa linapoa kabisa kama maji yako kwenye mtungi

Endeleen kudondosha ubuyu wala msichoke

Ila sasa warumi punguza code unaua wengine huwa tunatoka kapa kitendo kinachofanya had tumsubili mtaram wa code Numbisa atokee

Aman kwao watu hawa


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameeen
 
Back
Top Bottom