Pre GE2025 Handeni: CHADEMA yatikisa Kwa Msisi, Wananchi waishukuru Kwa kuja, Mkuu wa Wilaya ahudhuria Mkutano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Chadema ikiongozwa na Freeman Mbowe imeingia Kwa Msisi, eneo ambalo viongozi wa ccm wanaogopa kwenda kutokana na dhuluma walizowafanyia wananchi wa huko kwa muda mrefu (wanaogopa kulogwa)

Chadema imefika na kupokelewa na Wananchi kwa shangwe kuu, jambo lililomfanya Mkuu wa Wilaya hiyo Bwana Albert Msando kuona wivu na kujitosa kwenye mkutano huo

 
Namuona Mmawia na mwanya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…