Mwanzo mihogo ilikuwa zaidi inalimwa Kwamsisi lakini sasa imelimwa sana huko. Kuna uhusiano gani wa kuwa na acc ya bank ya nmb na soko la mihogo? taarifa zaidi please!
Mbona nahitaji mihogo nanimekosa..tatizo madalali wanatupatia bei ya juu zaidi ya uhalisia..mfanyabiashara wa mihogo aje PM mimi nafanyia biashara Kigali.
Mwanzo mihogo ilikuwa zaidi inalimwa Kwamsisi lakini sasa imelimwa sana huko. Kuna uhusiano gani wa kuwa na acc ya bank ya nmb na soko la mihogo? taarifa zaidi please!