Handeni wanakosa soko la mihogo yao.

Handeni wanakosa soko la mihogo yao.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Baada ya Handeni kuhamasika na kulima zaidi mihogo badala ya mahindi waliyoyazoea kama zao la biashara na chakula sasa soko linawapiga Cheng's ya mwili. Baada ya mafanikio ya wakulima wa kijiji cha Kwamsisi kupitia mihogo na wengine kuiga sasa ni kilio chao ni wapi waipeleke mihongo yao.
 
Baada ya Handeni kuhamasika na kulima zaidi mihogo badala ya mahindi waliyoyazoea kama zao la biashara na chakula sasa soko linawapiga Cheng's ya mwili. Baada ya mafanikio ya wakulima wa kijiji cha Kwamsisi kupitia mihogo na wengine kuiga sasa ni kilio chao ni wapi waipeleke mihongo yao.
Food processing and value addition bado ni tatizo!
 
Back
Top Bottom