Handsome-up..

Mtoto mkubwa

Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
68
Reaction score
23
Naomba kuuliza, Ntapata wapi hansome up, kwa hapa dar. anaejua anijuze na je beiyake shilingi ngapi, Ahsante..
 
doh, uyu jamaa kaamka breki ya kwanza anataka arefushe uume ? aisee, sisi tuko kiwandani uku tunachapa kazi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hata hicho ni kiwanda kwa kiasi chake coz kinazalisha


za asubuhi bwana drone drake , naeza pata drone za kufanya saviliensi kwa mnaodai mna viwanda ili niwe na uhakika wa kodi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hata hicho ni kiwanda kwa kiasi chake coz kinazalisha


za asubuhi bwana drone drake , naeza pata drone za kufanya saviliensi kwa mnaodai mna viwanda ili niwe na uhakika wa kodi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , 'nimeajiriwa' kiwandani, sina kiwanda mimi, drone=nyuki dume, drake=bata dume, maana yake nna 'dushe 2', ila siuzi zile 'drone' za kupaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , 'nimeajiriwa' kiwandani, sina kiwanda mimi, drone=nyuki dume, drake=bata dume, maana yake nna 'dushe 2', ila siuzi zile 'drone' za kupaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dushe ngapiii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jamaa anaetaka hadsome up si umpunguzie kiainaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…