Hanilizishi kwa lolote nifanyeje?


akisema yote hayo anafanya utamshauri ni zaidi ya hayo?
 
Nimekuwa nikipata taabu kwa muda mrefu kwani mke wangu hanilizishi kabisa, na wazazi wangu hawataki nimuache nisaidieni wanaJF

Nenda kashtaki kwa aliyemfunda, unapokuja kutueleza hapa JF kwani sisi ndio tulimfania kicheni pati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…