Hanipi denda

nenda tu kwa daktari hiyo ni njia tu katumia
 
Aisee hii kali...mate yako yanasababisha vidonda vya koo? hii kali sana.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Uwezekano huo ni mkubwa; pia anaweza kuwa hajui kukiss so mwenzie anakereka!
<br />
Mkuu hili nalo neno..kukiss ni ugonjwa mkubwa sana kwa wanaume wa kibongo..mi nisingetoa kisingizio cha kitoto namna hyo,soln ni kumbwaga jamaa...
 
Infakti denda huwa linapoteza muda tu na kugharimu uchumi wa Taifa! una pwenti ya maana sana arifu
mkuu tatzo wa2 wanashindwa kuelewa yaani hvi v2 vidogo haviitaji complains hadi jf..............ila 2silaumu labda jamaa chini mapambo hvo anaona bora apate hata denda 2
 
kusugua meno ina wezekana nisababu, hata mpangilio mbaya wa chakula huchangia pia kinywa kutoa smell.
 
mambo vp Jf,simuelew mpenz wangu jaman,niliachana nae kitambo na tumerudiana hv karibuni,lkn hanipi denda na sababu anasema kuwa huko nyuma mate yangu yalimsababishia vidonda koon hvo dactari alimwambia asitumie demda!hv kwel mate yanazuliana?

&#8203;Na wewe usimpe: Ngoma droo.
 
1. Unanuka mdomo?
2. Unamsukumizia mimate/mabaki ya chakula mwenzio wakati wa denda
3. Hujui kukiss
4. Hupigi mswaki vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…