Hans Pope, jeuri na kisiki

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
7,518
Reaction score
6,506
Nakumbuka enzi ya mgogoro wa mizani na malori ya mizigo, mtukufu akiwa waziri mwenye dhamana na mizani ya barabarani, ndugu Hans Pope alimtolea lugha ya dharau sana mtukufu. Hapa naangalia ITV taarifa, lory zake za mafuta zaidi ya kumi zimebanwa na TRA TUNDUMA wakidaiwa arrears of kodi. Cha kushangaza karibu gari zote ni za HANSI POPE. Mimi si ccm hata kidogo. Naichukia ccm na viongozi wake. Ila pamoja na hayo dharau ya HANS POPE ilizidi kipimo. Simba toeni ushauri kwa jamaa yenu.
 
Huyu Jamaa ninachomfaham n Kiongozi simba.. Zaidi mshua kamlinda sana maweni... Mshua kahamia Butimba nayeye wakamuhamisha BUTIMBA.. Huwa ni story za mshua kila akimsikia nikiwa nae Karibu..
Weka wazi mkuu ni Mshua gani huyo aliyekuwa karibu na Pope kila mahali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…