Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Alikuwa mtaalam wa silaha za kivita ktk jeshi la tanzaniaJamaa anajiamini sana, ila ana historia kubwa katika nchi hii tangu enzi za nyerere, Wachache tunamfahamu.
Madeni ya kodi ambazo hazikulipwa hapo kablamkuu arrears of kodi ni nini maana yake kiuchumi??
Hilo gorofa refu ndo Hanspope hotel iringa townNasikia anajenga five star hotel pale Iringa mjini.
Weka wazi mkuu ni Mshua gani huyo aliyekuwa karibu na Pope kila mahali!Huyu Jamaa ninachomfaham n Kiongozi simba.. Zaidi mshua kamlinda sana maweni... Mshua kahamia Butimba nayeye wakamuhamisha BUTIMBA.. Huwa ni story za mshua kila akimsikia nikiwa nae Karibu..
Unataka kuniambia ni simba b auHanspop mfadhili mkubwa wa lipuli fc
Ni taarifa habari ya ITV ila nami nikaweka kiingereza changu cha pangu pakavumkuu arrears of kodi ni nini maana yake kiuchumi??
Mimi nimemwelewa kuwa Hans Pop alifungwa hivyo baba ke kamlinda sana gerezani.Weka wazi mkuu ni Mshua gani huyo aliyekuwa karibu na Pope kila mahali!
Tangu tukiwa wadogo lipuli fc Ni tawi rasmi la simba sc. Marehemu Gulamali alijaribu kubadili upepo lakini alishindwaUnataka kuniambia ni simba b au