Hans pope nje kwa dhamana ya milioni 15

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
-Mwenyekiti wa Kamati ya usajili ya klabu ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameachiwa kwa dhamana ya Sh. Milioni 15 baada ya kusomewa mashitaka mawili katika Mahakama ya Kisutu mjini Dar es Salaam leo akiunganishwa kwenye kesi inayowakabili rais wa klabu hiyo Evans Aveva na Godfrey Nyange 'Kaburu'. Kaburu na Aveva wataendelea kusota rumande kwa sababu makosa yao hayana dhamana.
 
He is very smart alishajua Haya yote Ndomana akamua kurud home
 
Hans taita huyu mishe zote anazijua kuzipangilia na kuzipangua kumpata ni ngumu.
 
Hili jamaa linaonekana 'mafia' sana! Mbabe fulan hivi
 
Alijiamini, ndio maana nilikua naona watu wana wayawaya humu akiwepo na Mods, muanzisha uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…