Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
“Yanga SC wamekuwa bora zaidi ya Simba SC hawawafungi wapinzani kwa bahati mbaya. This time Simba SC wataingia kutaka kuondoa uteja na uwezo huo wanao. Katika mechi 13 zilizopita Simba SC kashinda mechi mbili tu"
.
"Ukitazama katika makaratasi Yanga SC wana timu nzuri kuliko Simba SC, lakini hii ni Derby ambayo huwa ina mambo mengi ndani yake, lakini mechi itaamuliwa katikati ya uwanja"
.
HANS RAPHAEL,Mchambuzi CROWN FM
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
.
"Ukitazama katika makaratasi Yanga SC wana timu nzuri kuliko Simba SC, lakini hii ni Derby ambayo huwa ina mambo mengi ndani yake, lakini mechi itaamuliwa katikati ya uwanja"
.
HANS RAPHAEL,Mchambuzi CROWN FM
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app