Hans Raphael: Yanga bado ni bora sana kuliko Simba SC

Hans Raphael: Yanga bado ni bora sana kuliko Simba SC

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
“Yanga SC wamekuwa bora zaidi ya Simba SC hawawafungi wapinzani kwa bahati mbaya. This time Simba SC wataingia kutaka kuondoa uteja na uwezo huo wanao. Katika mechi 13 zilizopita Simba SC kashinda mechi mbili tu"
.
"Ukitazama katika makaratasi Yanga SC wana timu nzuri kuliko Simba SC, lakini hii ni Derby ambayo huwa ina mambo mengi ndani yake, lakini mechi itaamuliwa katikati ya uwanja"
.
HANS RAPHAEL,Mchambuzi CROWN FM
1723101683847.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
“Yanga SC wamekuwa bora zaidi ya Simba SC hawawafungi wapinzani kwa bahati mbaya. This time Simba SC wataingia kutaka kuondoa uteja na uwezo huo wanao. Katika mechi 13 zilizopita Simba SC kashinda mechi mbili tu"
.
"Ukitazama katika makaratasi Yanga SC wana timu nzuri kuliko Simba SC, lakini hii ni Derby ambayo huwa ina mambo mengi ndani yake, lakini mechi itaamuliwa katikati ya uwanja"
.
HANS RAPHAEL,Mchambuzi CROWN FMView attachment 3127499

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hicho kikosi hata man city anakalishwa🦾💪
 
“Yanga SC wamekuwa bora zaidi ya Simba SC hawawafungi wapinzani kwa bahati mbaya. This time Simba SC wataingia kutaka kuondoa uteja na uwezo huo wanao. Katika mechi 13 zilizopita Simba SC kashinda mechi mbili tu"
.
"Ukitazama katika makaratasi Yanga SC wana timu nzuri kuliko Simba SC, lakini hii ni Derby ambayo huwa ina mambo mengi ndani yake, lakini mechi itaamuliwa katikati ya uwanja"
.
HANS RAPHAEL,Mchambuzi CROWN FMView attachment 3127499

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Habari za Derby ina mambo mengi sisi Yanga hatuangalii. Team itakayokuwa bora na kutumia nafasi inazopata vizuri ishinde mechi.
 
Toa Duke weka Mudathir hapo kati, SUB toa Dube ingiza Mzize, Chama asugue benchi asiingie kabisa
 
Back
Top Bottom