bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Kocha wa Yanga raia wa kiholanzi ila sasa ikiishi Ghana ni mfano wa kocha wa kuigwa na makocha wetu wazawa.
Amewai fundisha timu mbalimbali kwao Holland,Ghana Uarabuni na Sasa akiwa Yanga,Akiwa kama mkocha mkuu wa Yanga amefanikiwa kuipa Yanga vikombe vya ubingwa na Vodacom na pia kuingiza timu hatua za makundi kombe la shirikisho.
Kocha uyu amefanikiwa kubadilisha uchezaji wa timu ya Yanga kutoka matumizi ya Pasi ndefu mpaka timu kucheza pasi fupi fupi na kupanga mashambulizi yenye nguvu.
Leo Yanga imecheza na Kagera Sugar na kushinda jumla goli 6 kwa 2 za Kagera sugar,Wafungaji akiwa ni Pamoja na Obrey Chirwa mchezaji wa zamani wa Platinum fc ya zimbabwe.
Kabla ya hapo watu waliponda sana usajili wa kijana Chirwa kwan alisajiliwa kwa pesa nyingi tu ila Hans Van pluijm akasema kijana yuko safi niachieni nitamtengeneza leo naona wote waliokua wanamponda vichwa chini,leo kachapa goli mbili jumla atakua na goli 4 kama maktaba yangu iko vizuri
Pia Hans var der Pluijm alimleta Mkongwe Vicent Bossou raia wa Togo watu wakaponda sana ila leo amekua kati ya beki tegemeo wa Yanga na timu yake ya Taifa/Togo akiwa amesaidia kufuzu kombe la mataifa huru ya Afrika.
Hakika hans var der pluijm hongera nani mfano bora wa kocha wa kuigwa.
Sitashangaa kama utashinda tuzo ya kocha bora mtawalia msimu huu kwani unastahili.
Hongereni Yanga kwa Ushindi wa leo.
Amewai fundisha timu mbalimbali kwao Holland,Ghana Uarabuni na Sasa akiwa Yanga,Akiwa kama mkocha mkuu wa Yanga amefanikiwa kuipa Yanga vikombe vya ubingwa na Vodacom na pia kuingiza timu hatua za makundi kombe la shirikisho.
Kocha uyu amefanikiwa kubadilisha uchezaji wa timu ya Yanga kutoka matumizi ya Pasi ndefu mpaka timu kucheza pasi fupi fupi na kupanga mashambulizi yenye nguvu.
Leo Yanga imecheza na Kagera Sugar na kushinda jumla goli 6 kwa 2 za Kagera sugar,Wafungaji akiwa ni Pamoja na Obrey Chirwa mchezaji wa zamani wa Platinum fc ya zimbabwe.
Kabla ya hapo watu waliponda sana usajili wa kijana Chirwa kwan alisajiliwa kwa pesa nyingi tu ila Hans Van pluijm akasema kijana yuko safi niachieni nitamtengeneza leo naona wote waliokua wanamponda vichwa chini,leo kachapa goli mbili jumla atakua na goli 4 kama maktaba yangu iko vizuri
Pia Hans var der Pluijm alimleta Mkongwe Vicent Bossou raia wa Togo watu wakaponda sana ila leo amekua kati ya beki tegemeo wa Yanga na timu yake ya Taifa/Togo akiwa amesaidia kufuzu kombe la mataifa huru ya Afrika.
Hakika hans var der pluijm hongera nani mfano bora wa kocha wa kuigwa.
Sitashangaa kama utashinda tuzo ya kocha bora mtawalia msimu huu kwani unastahili.
Hongereni Yanga kwa Ushindi wa leo.