plujimu anashindwa hata na kocha wa stand united
KIUKWELI HUYU KOCHA PRIMJ HATUFAI WANAYANGA..NDO MAANA MANJI ANAKAMILISHA MAZUNGUZMO NA KOCHA KUTOKA ZAMBIA..HANAJIPYA HUYU MZUNGUN LAZIMA TUMUONDOE
Mlimtaka Maximo kawaletea hata msimu hujaisha akapigwa kalamu.KIUKWELI HUYU KOCHA PRIMJ HATUFAI WANAYANGA..NDO MAANA MANJI ANAKAMILISHA MAZUNGUZMO NA KOCHA KUTOKA ZAMBIA..HANAJIPYA HUYU MZUNGUN LAZIMA TUMUONDOE
Na hili ndio ninalolichukia kwenye soka la bongo. Timu inapoanza kufanya vizuri wanamuondoa kocha..Mlimtaka Maximo kawaletea hata msimu hujaisha akapigwa kalamu.
Hata uyo mzambia akija kama sijakosea(George Lwandamina) akikuta mfumo mbovu bado atashindwa tu.
Tutengeneze kwanza mfumo mengine yafuate.
Hebu nipe sababu kwanini unasema Hans Ver Pluijm hana jipya??
na Omog naye tutasemaje?Kocha wa Yanga raia wa kiholanzi ila sasa ikiishi Ghana ni mfano wa kocha wa kuigwa na makocha wetu wazawa.
Amewai fundisha timu mbalimbali kwao Holland,Ghana Uarabuni na Sasa akiwa Yanga,Akiwa kama mkocha mkuu wa Yanga amefanikiwa kuipa Yanga vikombe vya ubingwa na Vodacom na pia kuingiza timu hatua za makundi kombe la shirikisho.
Kocha uyu amefanikiwa kubadilisha uchezaji wa timu ya Yanga kutoka matumizi ya Pasi ndefu mpaka timu kucheza pasi fupi fupi na kupanga mashambulizi yenye nguvu.
Leo Yanga imecheza na Kagera Sugar na kushinda jumla goli 6 kwa 2 za Kagera sugar,Wafungaji akiwa ni Pamoja na Obrey Chirwa mchezaji wa zamani wa Platinum fc ya zimbabwe.
Kabla ya hapo watu waliponda sana usajili wa kijana Chirwa kwan alisajiliwa kwa pesa nyingi tu ila Hans Van pluijm akasema kijana yuko safi niachieni nitamtengeneza leo naona wote waliokua wanamponda vichwa chini,leo kachapa goli mbili jumla atakua na goli 4 kama maktaba yangu iko vizuri
Pia Hans var der Pluijm alimleta Mkongwe Vicent Bossou raia wa Togo watu wakaponda sana ila leo amekua kati ya beki tegemeo wa Yanga na timu yake ya Taifa/Togo akiwa amesaidia kufuzu kombe la mataifa huru ya Afrika.
Hakika hans var der pluijm hongera nani mfano bora wa kocha wa kuigwa.
Sitashangaa kama utashinda tuzo ya kocha bora mtawalia msimu huu kwani unastahili.
Hongereni Yanga kwa Ushindi wa leo.
Kikubwa pia ni falsafa ya uongozi. Kumpa muda kocha na kuwapa muda wachezaji. Ingekuwa wang'oa viti, Bossou na Chirwa wasingekuwepo leo.
Moja ya chanzo cha mafanikio Yanga ni kutomuingilia kocha kwenye kazi yake. Usajili na upangaji time.
Narudia kumpa muda kocha! Kakaa muda gani ukilinganisha ni kule kwa wang'oa viti? Kubwa zaidi ni kutoingilia majukumu yake! Hakuna Kaburu au Poppe was kumpangia timu au kuamua nani asajiliwe!Eti unasema?
Kocha bora ni yule ambaye hajafungwa mechi hata moja mpaka Sasa, hao w
Makombo ya Azamna Omog naye tutasemaje?
engine watasubiri Sana.