Hans Van Plujim Ajiuzulu

"To be very honest to you I'm not informed by Mr.
Manji or management about it. But if they want to
take that decision it's up to them. Life goes on. I
have my reputation and a very good CV. I'm not
worried." hans pluijm
 
Inadaiwa kuwa kilichosababisha viongozi wa Yanga kuwa katika mpango wa kumfuta kazi kocha Hans ni kutokana na kukataa kumrudisha kikosini Mrisho Ngassa aliyekuwa amevunja mkataba na Free State ya Afrika Kusini, Hans aliona hakuna haja ya kumrudisha Ngassa wakati kuna Deus Kaseke, Juma Mahadhi na Simon Msuva.

Source : Millardayo.com
 
Azam naomba mchukueni huyu kocha fasta ili awanyooshe team iliyomuacha kwenye soccer
 
Bora ameondoka...kitendo cha Yanga kutoka sare na timu mbovu kama Simba hakivumiliki
Tulizoea kujipigia viwili vya mkwezi, but kutoa sare na wa mchangani hata hakivumiliki kabisaaa
 
Kumpoteza Hans ni hasara kubwa kwetu. Azam wakichanga karata fresh wakamchukua, tutajuta!!

For real Hans was a great coach to me! I'm so sad for Yanga s fate! He knew how to recruit players despite without influence of either fans or club's leaders
 

Thanks for good explanations, if its the matter of age or health its okay,, but I'm too worried that couldn't the reason for him to resign
 

Looh .... this Is stupidity for Ngasa to come again in the Squad ! Hans go go and leave wala vumbi wa Tanzania!
To be a football fan in Tanzanian clubs is to seek for hypertension and stress + sorrows and craziness
 
Tatizo la Yanga sio kocha bali ni beki, yanga ina beki na viungo waliochoka, ndio maana wanafungika vizuri, hata walipo cheza na Kagera, wasingekua na washambuliaji wazuri kwa kiwango cha Tanzania, wangefungwa ila kagera walishambuliwa sana kiasi cha kuwafanya washambulia wa Kagera kushindwa kufanya mashambulizi.
Kwangu mimi kocha Hans ni kocha mzuri sana wa Kiwango cha Afrika, nini uhakika Yanga watajutia kumpoteza Prugen, tusubiri muda utaongea, Huyu Manji na maamuzi yake ya pesa badala ya akili ya michezo kuna siku mtamchukia. Tuendako Simba inaenda kuwa kilbu inyowalipa vizuri wachezaji wake na kilbu yenye pesa, Yanga haitaweza tena kuihujumu kwa kurubuni wachezaji wake ili kupata ushindi, kama walivyoihujumu kagera juzi, ili kwenye kikao Manji aonekane zaidi ya Yanga.
 
Daaah
Yaan hio ni habari nyingine mbaya, ukute watu wamepanik baada tu ya kuona simba anaongoza ligi.
Hans bado alikuwa anatufaa tuu
 
Simba na Yanga....ukizipenda sana utakuwa chizi au utakufa kwa presha...naona gemu inahamia Yanga sasa...kama kawa
 
Watu wanajiandaa kimataifa uwezo wa kocha umefikia mwisho pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…