basi tuupewakati wakati wakeMkuu, maisha ya kambini yana mambo mengi ya siri. Huku nje mnaweza kumuona mtu amapiga mabao lakini akiwa kambini anashawishi migomo. Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa soka ya mataifa ya Africa, basi utakumbuka kuwa Samuep Eto'o, E R
Nilikuwa sijaimalizia vyema post yangu uliyoniquote, kwa sasa inasomeka nilivyotakabasi tuupewakati wakati wake
alinacha storyFootball ni team work ndo inayofanya timu ipate matokeo tofauti na tennis.
Sasa huyo striker anayewahakikishia kutupia goli kila mechi ni wa kufikirika tu sababu hata kwa wenye soka lao,hakuna striker wa aina hiyo.
BTW:Huko aliko sasa ana-record hiyo? Wapi?
Halafu haya mambo ya kuficha ficha majina yamepitwa wakati.
kweli nilikua namuheshimu sana unless kama waandishi wamemnukuu vibaya na hata TFF ikemee hiliHuyo Zakaria ni bure kabisa, eti ndiyo anayefanya usajili!!!!
Hebu hawa viongozi wajisumbue angalau kidogo tu kujifunza wenzao wa ulaya wanafanyaje na wanaendeshaje vilabu.
Sijawahi sikia kauli ya kijinga kama hii kwa hao wenzetu wa ulaya.
Mtu anapoitumikia timu no matter what mchango wake lazima uheshimiwe tu, eti Kiiza walimtoa kijiweni?????
Yaleyale ya Amis Tambwe, huku kukurupuka na kutafuta sifa sijui kunawasaidia nini..!!!!
Acha hizo wewe, Kiiza ni mchezaji mzuri,kuhusu kusapoti mgomo viongozi ndio wanasababisha haya,unawacheleweshea mishahara yao unategea nini?Simba imejaa siasa na nakuambia tutaendelea kulia kwa uongozi huu.Wachezaji wa kigeni hawalipwi,unategemea nn kwa hawa wa nyumbani wasio na sauti?Unavunja timu kila msimu kujenga upya badala ya kuongeza nguvu penye mapungufu!!!Mimi ni mshabiki nguli wa Simba,Lakini kwa uongozi huu wa kisiasa na ubabaishaji,Simba ikishinda sawa ikifungwa pia sawa.Mana najua hatufiki popote.Mkuu, maisha ya kambini yana mambo mengi ya siri. Huku nje mnaweza kumuona mtu amapiga mabao lakini akiwa kambini anashawishi migomo. Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa soka ya mataifa ya Africa, basi utakumbuka kuwa Samuel Eto'o, Emmanuel Adebayor na Benni McCarthy kwa vipindi tofauti waliwahi kuachwa kuitwa kwenye vikosi vya mataifa yao kwa sababu za kuchochea migomo ya posho, lakini wote hao walikuwa wachezaji mahiri wanaopachika mabao. Sasa itakuwa Kiiza?
Mkuu Amavubi huwa unanifurahisha sana kwa ukweli wako. Hakika umekomaa kimichezo.I can imagine isingekua magoli ya kiiza sijui simba ingeishia nafasi ya ngapi, namuheshimu sana Hans ila kwa hali yoyote kama kiongozi ni muhimu kuwa makini na kauli.............hata aveva naye kumtumbua kessy haikua stahiki ilihali krossi nyingi za kessy zilizaa mabao and i can also imagne krosi za kesst Tambwe atafunga sana....time will tell....unajua hata Phiri ananukuliwa kusema Tambwe si straika wa aina yake..........
Unajua kaka hawa wazee ifikie hatua wakae pembeni wawaachie vijana wafanye kazi na cjii watajifunza ln? Wamekaa kiupigaji gaji eti straika wa kufunga kila mechi na waandish wetu walivomanjanja wanaandika habari zahivi. Hivyo unaweza kukuta amehakikishiwa 10% ndo maana mzee akKimbilia kwenye vyombo vya habari. Mambo ya usajili aachiwe kocha sasa huyu mzee ni kocha mambo mengine yanatia hasrA mpka basi naonatujiandae kushuka daraja tukiendekeza mazee mapiga dili ya namna hiiHuyo foward ataekuwa anatupia kila game anatoka dunia gani!!!! Basi kama kweli ana uwezo huo hata Ronaldo na Messi hawamfikii.
Mchango wa Manji pale Yanga si wa kubeza hata kidogo kama Popo alivyobeza mchango wa Kiiza huko vyura fc. Hata hivyo Manji ana umri mdogo, hata nusu ya umri wa Yanga hafikii. Kabla ya Manji Yanga ilikuwepo, wakati wake Yanga ipo na hata atakapoondoka Yanga itaendelea kuwepo.....nyie kandambili huku mnajidai mnajua saaana kuishauri Simba,mmeambiwa na kocha wenu Manji akiondoka,timu inakufa baada ya wiki!!....
endeleeni kujifanya masharobaro kwa nguo za kuazima!! iko siku...
Kiiza msumbufu sanaNamshauri Pluijm amchukue Kiiza asaidiane na Ngoma kucheza namba hiyo maana mpaka sasa hatuna substitute ya maana kwa Ngoma akipata tatizo.
Hahahaha..ngoja tumsubiri huyo straika anayetupia kila mechi,tatizo pope wakala yeye,kocha yeye,kiongozi yeye..mchezaji anakua kama BIG G tu
Nini maana ya siasa? Siasa ni kitu kibaya? Kwangu mimi siasa ni utaratibu, na ningependa ikibidi timu zote ziongozwe kisiasa..
Simba imejaa siasa ... Lakini kwa uongozi huu wa kisiasa na ubabaishaji,Simba ikishinda sawa ikifungwa pia sawa.Mana najua hatufiki popote.