Tatizo wengi wanatanguliza shida sana, umefahamiana na Ke haijapita hata siku tayari kashakupa file lake lote la changamoto zake hasa kiuchumi, kwa style hiyo ni lazima mtu atumie shida zako kuteleza alafu akuache.
Tulia msomane tabia vinginevyo utahitaji msaada hata kwa mtu unaepaswa kumsaidia. Ombaomba na Njaa zitawafanya mliwe sana.