Hao Paka Wanne, Kondoo Mmoja, Njiwa na Mayai Viza yameingizwa 'Lupaso Stadium' Usiku huu kwa Kazi ipi Ngumu na ya Kishirikina?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Popote mlipo KEROZENE nipo na hakuna cha Siri nisikijue hivyo nichukue tu Fursa hii Kuwaambia kuwa huu Ushirikina unaenda Kuwaadhibu Kesho na hamtoamini kwani nimedokezwa ili Kafara lifanye Kazi na Ushindi upatikane kuna Mtu mkubwa, maarufu na Tajiri pia alitakiwa aondoke duniani cha Kushangaza jioni hii kwa Uwoga wake kakimbilia Dodoma Kujificha huku Msemaji wa Timu moja Kubwa ( nimeisahau Jina ) Yeye ndiyo kabisa hataki Kusogelea Kambi ya Taifa Stars kwani anajijua vyema alivyo na Thamani kwa Nyota ya Ushindi.

Hongereni kwa kuamua Kumtumia Mganga wa Yanga SC ( ambaye zamani alikuwa wa Simba SC ) akitokea Nungwi Zanzibar kwa Kushirikiana na Yule wa Kigamboni bila Kumsahau na Kiongozi Mmoja Mwandamizi wa Dini yenye Heshima Tanzania Kucheza Kishirikina hii Mechi ili Ushindi upatikane na Usiku huu kuna Vitu vinaenda Kufanyika Baharini ( Indian Ocean ) kwa Escort ya Boti ya Taasisi Muhimu na Nyeti Tanzania mpaka Mkongo Afe Kesho na Upako huo huo wa Kishirikina utapanda Ndege kwenda Kummaliza Madagascar Kwao hatimaye Tanzania ya Bi. Hangaya inatinga Kombe la Dunia kwa mara ya Kwanza.

Naomba kujua Kesho Wazairwa ( Congo DR ) Wakitufunga au wakitulazimisha Sare Tanzania ( Taifa Stars ) hivi Vitu Tajwa na vilivyoingizwa Usiku huu 'kwa Mkapa' mtavitoa Saa ngapi baada ya Mechi ili nami KEROZENE niwasaidieni Kuvitoa kwa Kuvifukua.

Kesho ( Leo ) ndiyo mtawajua Wakongo walivyo Wabobezi na Waandamizi Kiuchawi Afrika nzima na huu ukimya wao tokea wake usiwapeni Kiburi na Jeuri kwani kuna Vitu vya uhakika wameshavifanya na Kuviseti huku wakitutizama tu Watanzania tunavyohangaika Kuroga, Kuhonga Mwamuzi na kutoa Motisha za Kipuuzi na za Kisiasa tupu.
 
Jamaa wamesema muamuzi atakayekula hela ya hongo ahesabu siku zake dunian zimefika mwisho.

Nawatakia ushindi wa haki Taifa stars
 
Wewe ni KE Nadhani
 
Hivi unaishije na jirani zako Kwa Tabia hizi za ajabu ajabu!!?
 
Wewe Hangaika tu ila kazi imekwisha goli 2 zinawahusu hao Banyamulenge

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kikosi kimejaa wachezaji wa Simba halafu ndumba ni za mganga wa Yanga, Ndio maana tumechapwa kichapo cha Paka mwizi.
 
job na Mwamnyeto ndiyo mabeki wanacheza simba? Goli la kwanza Job kachoma.

Una mavi kanye kenge maji.
Mimi nilipoona Makolo wamejaa kwenye kikosi Cha Leo nikajua tayari na shughuri imeisha hiyo. Makolo tuachie timu yetu
 
Mimi nilipoona Makolo wamejaa kwenye kikosi Cha Leo nikajua tayari na shughuri imeisha hiyo. Makolo tuachie timu yetu
Sasa misukule haiwezi kucheza mpira. Km sis makolo ambao ni binadamu tumeshindwa kucheza,Je, vyura watacheza mpira? Kuwa tu mpole topolo ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…